Mar 16, 2015

YANGA SC NA FC PLATINUM KATIKA PICHA JANA TAIFA

Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka beki wa FC Platinum ya Zimbabwe jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza, Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga SC ilishinda 5-1.
Kiungo wa Yanga SC, Salum Telela akipambana na mchezaji wa Platinum
Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akimgeuza beki wa Platinum, Elvis Moyo
Beki wa Yanga SC, Oscar Joshua akimpiga chenga mshambuliaji wa Platinum

Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe akimtoka beki wa Platinum

0 maoni:

Post a Comment