May 2, 2015

MAYWEATHER AMZIDI UZITO PACQUIAO, LAKINI IKO POA TU KWA WELTER

Mayweather poses on the scale at the MGM Grand and was inside the limit by just one pound

Bondia Floyd Mayweather Jr akiwa kwenye mzani wakati wa kupima uzito ukumbi wa MGM Grand usiku wa kuamkia leo kuelekea pambano lake na Manny Pacquiao usiku wa kuamkia kesho kwenye ukumbi huo. Mayweather 'alibalanasi' uzito wa pambano (Paundi za 147 za Welter), tena akiwa amepungua Paundi moja. 
Pacquiao flexes his muscles on the scales and came in at  two pounds under the weight limit
Pacquiao naye amepungua Paundi mbili za uzito kamili wa Welter

0 maoni:

Post a Comment