Mar 20, 2015

EVERTON NAYO NJE MICHUANO YA ULAYA

A disconsolate Everton attempt to come to terms with the glut of goals they conceded, but were made to play for defensive errors
Wachezaji wa Everton wakiwa hoi jana Uwanja wa NSK Olimpiyskiy mjini Kiev, baada ya kufungwa mabao 5-2 na wenheji Dynamo Kiev katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Europa League hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 6-4, baada ya awali kushinda 2-1 nyumbani.

0 maoni:

Post a Comment