SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 15, 2016

HASSAN KESY MAMBO SAFI SIMBA SC

Uongozi wa klabu ya Simba ya Dar es Salaam umesema umefika mbali katika suala lake na beki wake, Hassan Kessy na una imani kubwa ataendelea kubaki na kuitumikia klabu hiyo msimu ujao. Makamu Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ amesema wameanza mazungumzo na Kessy na yako katika hatua nzuri...

FA WAMEAMUA HIVI KUHUSU DIEGO COSTA

Licha ya Barry kusema kwamba Diego Costa hakumng’ata kwenye mechi ya weekend iliypita, FA imemkuta Costa na makosa na wamempa hadi Alhamisi akatoe maelezo. Diego Costa ameonekana aking’ata Barry kwenye mechi yao ambapo hadi alama za meno zilionekana kwenye picha video. FA imetoa statement kwamba,...

TFF YASOGEZA MBELE MECHI MBILI ZA YANGA NA AZAM FC

MECHI mbili za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara zinazozihusu timu za Azam na Yanga zilizopangwa kufanyika mapema wki ijayo, zimeahirishwa. Mechi hizo ni kati ya Mtibwa Sugar na Azam FC Jumanne ya Machi 22 Uwanja wa Manungu, Turiani, Morogoro na Yanga SC dhidi ya Mwadui FC Jumatano ya Machi 23,...