
TUNAENDELEA kuangalia vikosi bora vya makocha wa timu za
ligi kuu soka Tanzania bara, makocha wasiokuwa na timu na wachambuzi wa
soka kwa msimu wa 2014/2015.
Jana tulikuwekea kikosi bora kilichopendekezwa na kocha wa
Mbeya City fc, Juma Mwambusi na tukaahidi kukupatia kikosi bora cha
kocha...