SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 23, 2015

MECKY MEXIME ATAJA KIKOSI CHAKE BORA VPL2014/2015

TUNAENDELEA  kuangalia vikosi bora vya makocha wa timu za ligi kuu soka Tanzania bara, makocha wasiokuwa na timu na wachambuzi wa soka kwa msimu wa 2014/2015. Jana tulikuwekea kikosi bora kilichopendekezwa na kocha wa Mbeya City fc, Juma Mwambusi na tukaahidi kukupatia kikosi bora cha kocha...

NDANDA FC KUMUIBUKIA ALIKO DANGOTE

Bilionea Aliko Dangote Uongozi wa Ndanda FC unajipanga kukutana na bilionea namba moja barani Afrika, Aliko Dangote kwa ajili ya kumuomba kuwa mmoja wa wadhamini wa juu katika timu hiyo kabla msimu ujao haujaanza. Salehjembe ameripoti kwamba  mwenyekiti wa Ndanda FC, Hamad Omari alisema...

MWAMBUSI AICHOMOLEA NJE AZAM FC

  WAKATI Azam fc wakidai idadi ya wachezaji wa kigeni ligi kuu soka Tanzania bara iongezwe kutoka idadi ya sasa ya watano, kocha wa Mbeya City fc, Juma Mwambusi amepinga mtazamo huo. Hoja ya Azam kutaka idadi iongezeke ni kupata wachezaji wengi wa kigeni watakaowasaidia katika michuano...