SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 28, 2016

NGASSA AITAJA TIMU INAYO MWITAJI VPL

Na Haji balou Pamoja na uongozi wa Free State Stars ya Afrika Kusini kumzuia kiungo wake mshambuliaji, Mrisho Ngassa kumtoa kwa mkopo, nyota huyo amewatoa hofu mashabiki wa Yanga na kuwaambia siku si nyingi anarejea kwenye klabu hiyo. Ngassa ameitoa kauli hiyo muda mfupi baada ya kuwasili nchini kisha...

NGASSA AITAJA TIMU INAYO MWITAJI VPL

Na Haji balou Pamoja na uongozi wa Free State Stars ya Afrika Kusini kumzuia kiungo wake mshambuliaji, Mrisho Ngassa kumtoa kwa mkopo, nyota huyo amewatoa hofu mashabiki wa Yanga na kuwaambia siku si nyingi anarejea kwenye klabu hiyo. Ngassa ameitoa kauli hiyo muda mfupi baada ya kuwasili nchini kisha kutazama mechi ya fainali ya Kombe la FA kati ya Yanga na Azam FC kwenye Uwanja wa Taifa, Dar ambapo...

HABARI NJEMA KWA WAKAZI WA TANGA BAADA YA TIMU ZAO TATU KUSHUKA DARAJA

Na Haji balou KAIMU Katibu Mkuu wa Coastal Union, Salim Bawazir amesema timu hiyo sasa itakuwa chini ya usimamizi wa Nassor Binslum pamoja na uongozi wa Chama cha Soka Mkoa wa Tanga (TRFA) kwa ajili ya kuiwezesha kushiriki vyema Ligi Daraja la Kwanza (FDL) ili irejee Ligi Kuu Bara. Akizungumza na Mwanaspoti...