
Na Haji balou
Pamoja na uongozi wa Free State Stars
ya Afrika Kusini kumzuia kiungo wake
mshambuliaji, Mrisho Ngassa kumtoa kwa
mkopo, nyota huyo amewatoa hofu
mashabiki wa Yanga na kuwaambia siku si
nyingi anarejea kwenye klabu hiyo.
Ngassa ameitoa kauli hiyo muda mfupi
baada ya kuwasili nchini kisha...