SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jul 2, 2016

LIVERPOOL YAONGEZA KIFAA KIPYA KUIMARISHA ULINZI

Na Haji balou
TIMU ya Liverpool imekamilisha uhamisho wa staa wa Schalke 04 Na Timu ya taifa ya Cameroon Joel Matip.

Matip ambaye anacheza nafasi ya beki wa kati amejiunga Na Liverpool kwa uhamisho huru baada ya kumaliza mkataba Na Timu yake ya Schalke 04 ya Ujerumani.

.