SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

May 11, 2016

KIGAMBONI YA NG'AA VIJANA CUP

Na Haji balou
Timu ya Kigamboni fc yaendelea kung'aa baada ya kuibuka ushindi wa goli 1 bila dhidi ya Kombaini katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa shule ya Msingi muungano.

Goli pekee la kigamboni fc lililoipa ushindi lilifungwa Na Ramadhani mtunage Na katika dakika ya 25 kipindi cha kwanza Na mpaka mchezo una malizika Kigamboni 1 Na Kombaini hawajapata kitu.

Ligi hiyo ya Mbuzi vijana cup inayoendelea wilayani Liwale itaendelea tena hapo kesho katika mchezo unao ikutanisha Kubota fc Vs Wakaanga sumu fc.