SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 11, 2016

KIGAMBONI YA NG'AA VIJANA CUP

Na Haji balou Timu ya Kigamboni fc yaendelea kung'aa baada ya kuibuka ushindi wa goli 1 bila dhidi ya Kombaini katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa shule ya Msingi muungano. Goli pekee la kigamboni fc lililoipa ushindi lilifungwa Na Ramadhani mtunage Na katika dakika ya 25 kipindi cha kwanza Na...