Na Haji balou
Mshambuliaji
wa Simba, Hamisi Kiiza naye yuko katika wakati mgumu baada ya kuandika
mambo mtandaoni akionyesha kuupinga uongozi wa Simnba kumsimamisha
nahodha wake, Hassan Isihaka.
Simba
ilitangaza kumfungia Isihaka kwa muda usiojulikana kutokana na kitendo
chake cha...