SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 3, 2016

BAADA YA ISIHAKA KUFUNGIWA SIMBA HAYA NDIO ALIYOSEMA HAMISI KIIZA

Na Haji balou Mshambuliaji wa Simba, Hamisi Kiiza naye yuko katika wakati mgumu baada ya kuandika mambo mtandaoni akionyesha kuupinga uongozi wa Simnba kumsimamisha nahodha wake, Hassan Isihaka. Simba ilitangaza kumfungia Isihaka kwa muda usiojulikana kutokana na kitendo chake cha...

ALICHOSEMA MANEGER WA HASSAN KESSY KUHUSU MKATABA MPYA SIMBA

Na Haji balou Meneja wa Hassan Kessy amesema bado anahitaji mchezaji huyo aendelee kuitumikia Simba. Athuman Tippo amesema Kessy hadi sasa ni mchezaji wa Simba ingawa mkataba wake unaendea ukingoni. Lakini wanatoa nafasi kubwa kwa Simba kuingia naye tena mkataba kama wanamhitaji. “Ni suala la kukubaliana....

MATOKEO YA MECHI ZA JANA LIGI KUU ENGLAND

TIMU ya Liverpool imeichapa mabao 3-0 Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Anfiled. Ushindi huo ni sawa na kisasi cha kufungwa kwa penalti 3-1 katika fainali ya Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup Februari 28, Uwanja wa Wembley baada ya sare ya 1-1. Katika...