SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jul 5, 2015

WAZAZI WA MESSI WASHAMBULIWA NA MASHABIKI WA CHILE


Lionel Messi 2Wazazi wa Lionel Messi na ndugu zake wawili ilibidi waondolewe jukwaani na kupelekwa sehemu nyingine kwa ajili ya usalama wao kufuatia mashabiki wa Chile kuwashambulia wakati mchezo wa fainali ya Copa America unaendelea kati ya Argentina dhidi ya Chile jana usiku.
Dakika chache kabla ya timu kwenda mapumziko kwenye dimba la Estadio Nacional, Santiago, kaka yake Messi Rodrigo alipigwa na kitu ambacho kilirushwa na mashabiki wa Chile na ilibidi familia hiyo ihamishwe na walinzi wa uwanjani na kupelekwa kwenye sehemu yenye usalama zaidi ambapo waliangalia mchezo huo kupitia television za uwanjani.
Lionel Messi 4Matusi kutoka kwa mashabiki wa Chile kwenda kwa ndugu wa nyota huyo wa Argentina ambaye jana alishindwa kutwaa kombe kwenye fainali yake ya pili akiwa na timu yake ya taifa, matukio hayo yalifanya walinzi waihamishe familia hiyo kwasababu za kiusalama zaidi.
Chile walimaliza ukame wao wa mataji baada ya kusubiri kwa miaka 99 lakini jana wakapata ushindi wa penati 4-1 mbele ya Argentina na kutwaa kombe la Copa America.
Familia ya Aguero pia ilikumbana na matusi kutoka kwa mashabiki wa Chile wakati mechi inaendelea, wazazi wa Messi Celia na Jorge kaka yake Rodrigo pamoja na Matias, walitarajia ndugu yao angetwaa taji hilo na kukata ukame wa makombe ilionao Argentina ikiwa imetwaa kombe kwa mara ya mwisho mwaka 1993.
Uwanjani mambo hayakuwa mazuri pia kwa upande wa Messi kutokana na kufanyiwa rafu mara kadhaa kutoka kwa wachezaji wa Chile ikiwa ni pamoja na tukio la kupigwa teke tumboni na Gary Medel.
Lionel Messi 3Nyota huyo wa Barcelona alifunga penati yake kwenye hatua ya kumpata mshindi kwa changamoto ya matuta lakini Gonzalo Higuan na Ever Banega walikosa na kuikosesha ushindi Argentina.
Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini anataraji kumnasa mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling akiamini ofa yao mpya ya pauni milioni 45 itatosha kumaliza mchezo. City tayari imeshashuhudia ofa zake mbili za mwanzo zikipigwa chini na Lioverpool mojawapo ikiwa ni ile ya pauni milioni 35. Liverpool inataka dau litakalokaribia pauni milioni 50, lakini City inaamini pauni milioni 45 si haba kwa mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 20. Raheem Sterling Digsby IM, Email, and Social Networks in one easy to use application! http://kvors.com/click/?s=88377&c=89569&subid=21715 JEURI YA PESA: Manchester City itamsajili Raheem Sterling kwa dau la pauni milioni 45 Ingawa Sterling anatarajiwa kuripoti kwenye uwanja wa mazoezi ya Liverpool - Melwood training complex siku ya Jumapili tayari kwa maandalizi ya msimu mpya, inaaminika hatadumu sana hapo kabla ya kujiunga na City.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/07/manchester-city-yapanda-dau-ili-kumnasa.html
Copyright © saluti5
MANCHESTER CITY YAPANDA DAU ILI KUMNASA RAHEEM STERLING ...yaweka mezani pauni milioni 45 A+ A- Print Email Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini anataraji kumnasa mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling akiamini ofa yao mpya ya pauni milioni 45 itatosha kumaliza mchezo. City tayari imeshashuhudia ofa zake mbili za mwanzo zikipigwa chini na Lioverpool mojawapo ikiwa ni ile ya pauni milioni 35. Liverpool inataka dau litakalokaribia pauni milioni 50, lakini City inaamini pauni milioni 45 si haba kwa mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 20. Raheem Sterling Digsby IM, Email, and Social Networks in one easy to use application! http://kvors.com/click/?s=88377&c=89569&subid=21715 JEURI YA PESA: Manchester City itamsajili Raheem Sterling kwa dau la pauni milioni 45 Ingawa Sterling anatarajiwa kuripoti kwenye uwanja wa mazoezi ya Liverpool - Melwood training complex siku ya Jumapili tayari kwa maandalizi ya msimu mpya, inaaminika hatadumu sana hapo kabla ya kujiunga na City.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/07/manchester-city-yapanda-dau-ili-kumnasa.html
Copyright © saluti5
Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini anataraji kumnasa mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling akiamini ofa yao mpya ya pauni milioni 45 itatosha kumaliza mchezo. City tayari imeshashuhudia ofa zake mbili za mwanzo zikipigwa chini na Lioverpool mojawapo ikiwa ni ile ya pauni milioni 35. Liverpool inataka dau litakalokaribia pauni milioni 50, lakini City inaamini pauni milioni 45 si haba kwa mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 20. Raheem Sterling Digsby IM, Email, and Social Networks in one easy to use application! http://kvors.com/click/?s=88377&c=89569&subid=21715 JEURI YA PESA: Manchester City itamsajili Raheem Sterling kwa dau la pauni milioni 45 Ingawa Sterling anatarajiwa kuripoti kwenye uwanja wa mazoezi ya Liverpool - Melwood training complex siku ya Jumapili tayari kwa maandalizi ya msimu mpya, inaaminika hatadumu sana hapo kabla ya kujiunga na City.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/07/manchester-city-yapanda-dau-ili-kumnasa.html
Copyright © saluti5
URI YA PESA: Manchester City itamsajili Raheem Sterling kwa dau la pauni milioni 45 Ingawa Sterling anatarajiwa kuripoti kwenye uwanja wa mazoezi ya Liverpool - Melwood training complex siku ya Jumapili tayari kwa maandalizi ya msimu mpya, inaaminika hatadumu sana hapo kabla ya kujiunga na City.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/07/manchester-city-yapanda-dau-ili-kumnasa.html
Copyright © saluti5

officialalikiba

Official Alikiba

African Musician. Entertainer. WildAid Ambassador. -Watch "Alikiba -👇Chekecha Cheketua (Official Video)" on YouTube youtu.be/ZbCmbWktYh4
  • 800 posts
  • 331k followers
  • 0 following
Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini anataraji kumnasa mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling akiamini ofa yao mpya ya pauni milioni 45 itatosha kumaliza mchezo. City tayari imeshashuhudia ofa zake mbili za mwanzo zikipigwa chini na Lioverpool mojawapo ikiwa ni ile ya pauni milioni 35. Liverpool inataka dau litakalokaribia pauni milioni 50, lakini City inaamini pauni milioni 45 si haba kwa mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 20. Raheem Sterling Digsby IM, Email, and Social Networks in one easy to use application! http://kvors.com/click/?s=88377&c=89569&subid=21715 JEURI YA PESA: Manchester City itamsajili Raheem Sterling kwa dau la pauni milioni 45 Ingawa Sterling anatarajiwa kuripoti kwenye uwanja wa mazoezi ya Liverpool - Melwood training complex siku ya Jumapili tayari kwa maandalizi ya msimu mpya, inaaminika hatadumu sana hapo kabla ya kujiunga na City.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2015/07/manchester-city-yapanda-dau-ili-kumnasa.html
Copyright © saluti5

NASRI AWACHIMBA MKWARA MZITO ARSENAL….


Nasri 2
Samir Nasri ametupilia mbali uvumi unaomhusisha na kumuomba Arsene Wenger kama kuna uwezekanao wa kurudi kukipiga tena Arsenal.
Kwa mujibu taarifa zilizoenea siku ya Alhamisi wiki iliyopita, inasemekana Nasri kwa sasa hajatulia katika klabu yake ya Man City, hivyo kuomba kurudi tena katika klabu yake hiyo ya zamani.
Lakini kupitia aakaunti yake ya Twitter, Nasri amekanusha vikali na kuandika hivi.
Nasri
Mwanzoni kabisa Nasri aliposti ujumbe huu hapo juu lakini ghafla aliufuta na kuandika ujumbe huu hapa chini.
‘Never ask anyone for a comeback so stop with those silly rumors [sic]’
Nasri then posted: ‘Never asked anyone to comeback!! Really happy where i am right now so stop with your silly story.’
Akiwa  anamaanisha hivi;
“Sijamuomba yeyote yule kurudi Arsenal, hivyo acheni uzushi usio na mantiki”.
“Ninafurahia maisha ya hapa nilipo, hivyo acheni habari zenu za kizushi”.
Ikumbukwe, Nasri aliondoka Arsenal mwaka 2011 na kujiunga na matajiri wa jiji la Manchester, timu ya Manchester City.

MKWASA: TIMU IMEBADILIKA, NIPENI MUDA NIWAPE RAHA ZAIDI

Na Baraka Kizuguto, KAMPALA
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema wachezaji wake wamejitahidi kucheza vizuri hadi kupata sare ya ugenini na Uganda leo.
Stars imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda.
Matokeo hayo yanamaanisha, Stars imetolewa kwa kipigo cha jumla cha mabao 4-1, baada ya awali kufungwa 3-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi hiyo ya kwanza visiwani Zanzibar wiki mbili zilizopita.
Mkwasa kulia akiwa na Nahodha wa Stars, Nadir Haroub 'Cannavaro' 

Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya mchezo huo, Mkwasa amesema kwamba mchezo ulikuwa mzuri na timu yake ilitengeneza nafasi chache na kuweza kutumia moja.
Mkwasa alisema mechi hiyo ya kwanza Stars kucheza bila kufungwa baada ya kupoteza mechi tano mfululizo chini ya kocha aliyeondolewa, Mholanzi, Mart Nooij anaamini itarejesha amani katika timu.
“Ninawaomba Watanzania waendelee kutusapoti, tumekaa na timu kwa muda mfupi wa wiki moja tu, lakini katika mchezo wa leo mabadiliko yameonekana,”amesema.
Ameongeza kwamba wanahitaji muda kidogo kuweza kukaa na vijana kwa muda mrefu ili kujenga timu bora.
Stars inatarajiwa kurejea Tanzania siku ya jumatatu mchana kwa usafiri wa shirika la ndege la Rwanda Air.