SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 5, 2015

WAZAZI WA MESSI WASHAMBULIWA NA MASHABIKI WA CHILE

Wazazi wa Lionel Messi na ndugu zake wawili ilibidi waondolewe jukwaani na kupelekwa sehemu nyingine kwa ajili ya usalama wao kufuatia mashabiki wa Chile kuwashambulia wakati mchezo wa fainali ya Copa America unaendelea kati ya Argentina dhidi ya Chile jana usiku. Dakika chache kabla ya timu...

NASRI AWACHIMBA MKWARA MZITO ARSENAL….

Samir Nasri ametupilia mbali uvumi unaomhusisha na kumuomba Arsene Wenger kama kuna uwezekanao wa kurudi kukipiga tena Arsenal. Kwa mujibu taarifa zilizoenea siku ya Alhamisi wiki iliyopita, inasemekana Nasri kwa sasa hajatulia katika klabu yake ya Man City, hivyo kuomba kurudi tena katika klabu...

BEKI AZAM FC APIGA MKWARA MZITO

BEKI wa Azam FC, Serge Wawa Pascal (pichani kushoto) amesema kwamba msimu wa kwanza aliutumia kujifunza kuhusu Ligi Kuu na soka ya Tanzania kwa ujumla, lakini msimu ujao ataanza kazi rasmi.  “Nimekuja hapa Desemba, kipindi chote nilikuwa najifunza kuhusu soka ya Tanzania na ligi ya...

MKWASA: TIMU IMEBADILIKA, NIPENI MUDA NIWAPE RAHA ZAIDI

Na Baraka Kizuguto, KAMPALA KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema wachezaji wake wamejitahidi kucheza vizuri hadi kupata sare ya ugenini na Uganda leo. Stars imetupwa nje ya michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya sare ya 1-1 jioni ya leo Uwanja...