SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 5, 2016

GOTZE KUHAMIA LIVERPOOL

Na Haji balou Timu ya Liverpool ipo mbioni kuinasa saini ya kiungo wa Bayern Munich Mario Gotze Na hii ni kwamujibu wa Mwanahabari wa kicker Jorg Jakob. Gotze mwenye umri wa miaka 23  amejitahidi kupata namba mara kwa mara katika  kikosi cha kwanza chini ya Pep Guardiola katika timu yake...

MATOLA APONDA MAAMUZI YA TFF

Na Haji balou Kocha wa timu ya Geita Gold Mine, Seleman Matola, ameponda maamuzi ya Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la soka Tanzania TFF, kwa kutoa maamuzi ya kukurupuka ya kuishusha daraja timu hiyo bila kuzingatia haki. Matola ameiambia Goal, maamuzi hayo yamemsikitisha sana na haamini kama Kamati...