
KIUNGO
Michael Carrick amepata bonge la furaha Manchester United kuelekea
mechi na mahasimu wao wakubwa, Liverpool baada ya kusaini Mkataba mpya
mwaka mmoja Old Trafford.
Taarifa
ya Manchester United iliyotumwa BIN ZUBEIRY imesema kwamba kiungo huyo
anabaki kuwa mchezaji muhimu...