SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 9, 2015

WENGER HAJUI WILSHERE ATARUDI LINI

  Wilshere hajacheza tangu Novemba alipoumia kifundo cha mguu katika mechi ya Ligi Kuu ya England ambapo Arsenal ilifungwa mabao 2-1 na Manchester United. Alikua arejee mazoezini lakini kabla ya mechi ya Jumanne dhidi ya Leicester City, Wenger alisema: "Lazima tumchunguze kila siku. Sijui...

SERIKALI YA MISRI YATOA ADHABU KUTOKANA NA VURUGU ZA JANA

Mashabiki wa soka Misri huenda safari hii wakasahau kwa muda ligi kuu ya nchini kwao baada ya Serikali kutangaza kuisimamisha ligi hiyo kwa muda usiojulikana baada ya kuzuka vurugu zilizotokea jana na kusababisha watu zaidi ya 20 kufariki. Wengi wa waliofariki ni mashabiki wa timu ya Zamalek ...

NDOA YAMBADILI EMMANUEL OKWI KAMBINI SIMBA

Mshambuliaji nyota wa Simba, raia wa Uganda, Emmanuel Okwi, anadaiwa kubadili mfumo wake wa maisha ndani ya klabu hiyo tangu aliporejea kutoka katika likizo ya ndoa aliyokuwa amepewa na uongozi wa timu hiyo baada ya kuoa. Okwi ambaye hapo awali alikuwa akidaiwa kuwa na tabia ya usumbufu,...

RATIBA YA MECHI ZINAZO FUATA LIGI KUU BARA

    Feb 11- Azam vs Mtibwa Sugar Feb 14- Ndanda vs Mtibwa Sugar              Coastal Union vs Mbeya City              Stand United vs Mgambo Shooting              Feb 15-...

NGASSA AWAOMBA MSAMAHA SIMBA SC

Mara mbili jana Mrisho Ngassa alionyesha ishara ya kuwaomba msamaha mashabiki wa Simba SC baada ya kufunga mabao yote mawili, Yanga SC ikishinda 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Alikuwa anamanisha nini? ...

WAAMUZI MECHI YA AZAM , YANGA HAWA HAPA

MAREFA kutoka nchi jirani za Burundi na Somalia, ndio watachezesha mechi za kwanza za Raundi ya Awali ya michuano ya Afrika za timu za Tanzania mwishoni mwa wiki.Yanga SC itamenyana na BDF XI Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, wakati Azam FC watakuwa wenyeji wa El Merreikh ya Sudan Jumapili...

ALICHOSEMA YAYA TOURE KUHUSU MAN CITY

NAHODHA wa Ivory Coast, Yaya Toure amesema kwamba klabu yake, Manchester City inatakiwa kushinda mechi zote zilizobaki ikiwa inataka kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya England. Akizungumza baada ya kuwaongoza Tembo kushinda taji la Kombe la Mataifa ya Afrika, Toure ambaye alikandiwa kwa kucheza chini...

MAGWIJI WA BARCELONA KUKIPIGA DAR

KIKOSI cha magwiji wa Barcelona kitazuru Dar es Salaa Machi 28 mwaka huu kwa ajili ya mchezo mmoja wa kirafiki dhidi ya wachezaji nyota wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania, maarufu Tanzania Eleven.Almasi Kasongo, Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam, wanaoandaa ziara hiyo kwa ushirikiano...

KWA RATIBA HII SISHANGAI BURNLEY IKISHUKA DARAJA

...

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU

.   . . . . ...

YAMOTO BAND KAMILI KWA KWENDA KUFANYA SHOW LONDON

 Kutoka kushoto Enock, Maromboso, Beka na Aslay wakiwa wameshikilia ticket zao za ndege  ambazo walikabidhiwa rasmi na mkurugenzi wa Zurii house of Beauty Jestina George Meru. Yamoto Band wanatarijiwa kufanya Live show kwenye jiji London siku ya tarehe 21.02.2015...

IVORY COAST MABINGWA WAPYA AFRIKA

TIMU ya Taifa ya Ivory Coast imetwaa Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuifunga Ghana kwa penalti 9-8 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 120 Uwanja wa Bata, Equatorial Guinea. Historia imejirudia, baada ya Tembo kuwaunga ten Black Stars kwa penalti katika fainali kama ilivyokuwa...

BARCELONA YAFANYA MAUAJI LA LIGA SASA YAIKARIBIA KABISA REAL MADRID

TIMU ya Bercelona, imeichapa mabao 5-2 Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga na kupunguza pengo la pointi wanazozidiwa na vinara, Real Madrid hadi kubaki moja.  Lionel Messi alifunga bao la kwanza kwa mpira wa adhabu dakika ya 15 kabla ya Luis Suarez kufunga la pili dakika ya 26, De Marcos...