Wilshere hajacheza tangu Novemba alipoumia kifundo cha mguu katika
mechi ya Ligi Kuu ya England ambapo Arsenal ilifungwa mabao 2-1 na
Manchester United.
Alikua arejee mazoezini lakini kabla ya mechi
ya Jumanne dhidi ya Leicester City, Wenger alisema: "Lazima tumchunguze
kila siku. Sijui...