SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 16, 2015

KIBURI CHAMUONDOA VALDEZ MAN UNITED

Hatimaye kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amefumbua kile kilichokua kimejificha baada ya kushuhudia golikipa Victor Valdez akiachwa katika safari ya ‘Pre-season’ nchini Marekani. Akiongea kwa mara ya kwanza na vyombo vya habari katika ‘tour’ hiyo ya nchini Marekani, pamoja na mambo...

STEWART ASEMA MESSI,TCHETCHE, AME, WAWA WOTE ‘WAPO UNGA’

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM NYOTA wa Azam FC, Serge Wawa Pascal Kipre, Miachel Balou, Kipre Herman Tchetche wote raia wa Ivory Coast pamoja wazalendo Ramadhani Singano ‘Messi’ na Ame Ali ‘Zungu’ wote hawako fiti. Hayo yamesemwa na kocha Mkuu wa timu hiyo Muingereza, Stewart John Hall...

SIMBA WATUMIA MUDA WAO KUWALIWAZA WATOTO YATIMA WA LUSHOTO

Pamoja na maandalizi ya kambi mjini Lushoto, Simba wametumia muda wao mchache kutembelea kituo cha watoto yatima cha Irente. Wakiongozwa na Kocha Dylan Kerr, Simba na kikosi chao kizima walitua katika kituo hicho kilichopo Lushoto pia na kuzungumza na watoto hao ikiwa ni pamoja...

CHELSEA WALIVYOTUA NCHINI CANADA TAYARI KWA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA

CHELSEA WAMETUA JIJINI MONTREAL NCHINI CANADA KWA AJILI YA MAANDALIZI YA MSIMU MPYA WA LIGI KUU ENGLAND. CHEKI WALIVYOWASILI. ...

SIRI YA DILUNGA KUSUSA YANGA SC HII HAPA…

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM KIUNGO Hassan Dilunga (pichani) amegoma kuhudhuria mazoezi Yanga SC, kwa sababu ameambiwa atatolewa kwa mkopo Stand United. Dilunga ameamua ‘kujifungia’ nyumbani kwao na kutokwenda mazoezini Yanga SC, huku uongozi wa klabu hiyo ukipanga kumchukulia hatua za kinidhamu. BIN ...