
Hatimaye kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amefumbua kile
kilichokua kimejificha baada ya kushuhudia golikipa Victor Valdez
akiachwa katika safari ya ‘Pre-season’ nchini Marekani.
Akiongea kwa mara ya kwanza na vyombo vya habari katika ‘tour’ hiyo
ya nchini Marekani, pamoja na mambo...