
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMBAO
la Emmanuel Anord Okwi dakika ya 90 ushei limeipa Simba SC ushindi wa
1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii
katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.Simba
SC sasa inafikisha pointi 29 baada ya mechi...