SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 14, 2015

OKWI AWAPA RAHA SIMBA SC, MTIBWA SUGAR AFA 1-0 TAIFA

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMBAO la Emmanuel Anord Okwi dakika ya 90 ushei limeipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.Simba SC sasa inafikisha pointi 29 baada ya mechi...

UKIKUTWA NA TIKETI FEKI YA YANGA NA PLATINUM KESHO TAIFA, UMEKWISHA!

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMYANGA SC imeonya, atakayekamatwa na tiketi feki za mchezo wao na Platinum FC kesho ‘amekwisha’.Yanga SC wanaikaribisha Platinum FC ya Zimbabwe kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza, Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika.Na...

MARSH KUAGWA JUMATATU KARUME, MAZISHI MWANZA

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMMWILI wa aliyekuwa kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh utaagwa Jumatatu kuanzia Saa 4:00 asubuhi Uwanja wa Karume, Ilala, Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa Mwanza kwa mazishi.Mtoto wa kaka wa marehemu...

SIMBA UKAWA WAKUBALI KUISHANGILIA YANGA, LAKINI KWA MASHARTI HAYA...

Baada ya uongozi wa Yanga kuwaomba mashabiki wa klabu tofauti za hapa nchini kujitokeza na kuwapa sapoti kwenye mchezo wao wa kesho Jumapili wa Kombe la Shirikisho dhidi ya FC Platinum ya Zimbabwe, mashabiki wa Simba wa Tawi la Mpira na Maendeleo, maarufu kwa jina la Simba Ukawa, wamekubali...

MIKATABA YA NIYONZIMA, NGASSA YAMALIZIKA YANGA, WAKO HURU KWENDA ZAO

NGASSA (KULIA.... Viungo wa Yanga Mnyarwanda, Haruna Niyonzima na Mrisho Ngassa wamesema, mikataba yao imekwisha na wanawaaga kabisa mashabiki wao. Viungo hao, kila mmoja ameaga kuondoka kwa sababu tofauti huku ikikumbukwa kuwa mikataba yao inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Kauli...

MDAU ABDULFATAH WA SAPPHIRE AMLILIA KOCHA MARSH

Mdau maarufu wa soka nchini, Abdulfatah Saleh ameeleza hisia zake kwa kusikitishwa na msiba ulioikumba familia ya wanamichezo na hasa wapenda soka baada ya kuondokewa na Sylvester Marsh. Marsh aliyewahi kuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, Kilimanjaro Stars na baadhi ya timu za Ligi...

UNAMKUMBUKA BOBAN, ANGALIA BINSLUM ALICHO MFANYA

Mmoja wa viungo wenye uwezo wa juu ni Haruna Moshi ‘Boban’. Lakini siku hizi ameadimika na amekuwa akifanya mazoezi binafsi. Mmoja wa wadau wa soka na kiongozi wa Villa Squad, Iddi Godigodi ametupia picha Boban akijaribu kumdhibiti mshambuliaji ‘hatari’ Nassor Bin Slum. Katika picha...

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO ZIPO HAPA MARCH 14

. . . . . ...

WAKURUGENZI AZAM FC WAPATA ‘LANCHI’ NA WACHEZAJI, WAPANGA NAO MIKAKATI YA KUTETEA UBINGWA

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMWAKURUGENZI wa klabu ya Azam FC, leo wamesali pamoja na baadhi ya wachezaji wa timu hiyo sala ya Ijumaa kabla ya kupata nao chakula cha mchana wachezaji wote.Hiyo ilikuwa kabla ya kikao maalum cha kuweka mikakati ya kuhakikisha timu inatetea ubingwa...

PLATINUM WATUA DAR, WAJICHIMBIA POSTA

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMKIKOSI cha Platinum FC kimewasili usiku huu Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam tayari kwa mchezo wa kwanza, Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Yanga SC Jumapili.Msafara wa watu 31 wakiwemo...