SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 13, 2015

MAGAZETI YA MICHEZO LEO FEB 13

. . . . . ....

WAZAMBIA KUCHEZA MECHI ZA KIRAFIKI DAR

Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAMKLABU ya Red Arrow FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Zambia inatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam-Tanzania Jumatatu ya wiki ijayo kwa ajili ya kuweka kambi ya mafunzo ya wiki moja kujindaa na msimu mpya wa Ligi Kuu nchini humo 2015.Uongozi wa klabu hiyo chini...

KLUIVERT KUISAIDIA STAND UNITED

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Ajax Amsterdam, Barcelona ya Hispania na Newecastle ya England, Patrick Kluivert amewasili Shinyanga kwa shughuli mbalimbali za kimichezo ikiwemo kufugua kituo cha michezo katika shule ya sekondari Com mjini hapa.Kluveirt ambaye ameambatana na mchezaji wa zamani Real Madrid...

KESI YA KASEJA YA AHIRISHWA

ALIYEKUWA kipa wa Yanga SC, Juma Kaseja leo asubuhi amepandishwa Baraza la Usuluhishi katika mahakama ya Kazi, Dar es Salaam kuhusu mashataka ya kuvunja mkataba na klabu hiyo, lakini tukio la moto limeahirisha shauri hilo.Akizungumza mara baada ya kusikilizwa kwa awali kwa shauri hilo Mwanasheria...

CANNAVARO HATARINI KUIKOSA BDFXI

KOCHA mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm amesema kwamba Nahodha wake, Nadir Haroub 'Cannavaro' yuko kwenye hatihati ya kucheza mechi ya kwanza ya Raundi ya Awali, Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya BDF XI ya Botswana Jumamosi.Akizungumza na BIN ZUBEIRY leo Dar es Salaam, Pluijm amesema ukiacha...