
ALIYEKUWA kipa wa Yanga SC, Juma Kaseja leo asubuhi amepandishwa
Baraza la Usuluhishi katika mahakama ya Kazi, Dar es Salaam kuhusu
mashataka ya kuvunja mkataba na klabu hiyo, lakini tukio la moto
limeahirisha shauri hilo.Akizungumza mara baada ya
kusikilizwa kwa awali kwa shauri hilo Mwanasheria...