
Mkali wa R&B Usher Raymond aliingia mtaani akiwa amevaa nguo ambazo watu hawakumtambua, akaachia bonge la burudani kwa kuachia bonge la show.
Waliosimama kumuangalia walivutiwa na
vitu viwili, kwanza ni mavazi ya rangi ya dhahabu aliyoyavaa na pia
namna alivyocheza vizuri.
Burudani...