SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jan 29, 2015

Usher Raymond aliingia zake mtaani, akatoa bonge la burudani lakini hakuna aliyemjua!


Mkali wa R&B Usher Raymond aliingia mtaani akiwa amevaa nguo ambazo watu hawakumtambua, akaachia bonge la burudani kwa kuachia bonge la show.
Waliosimama kumuangalia walivutiwa na vitu viwili, kwanza ni mavazi ya rangi ya dhahabu aliyoyavaa na pia namna alivyocheza vizuri.
Burudani hiyo aliitoa California, Marekani na baada ya watu hao kujua kwamba jamaa huyo ni Usher walishangilia kumuona staa huyo na kuanza kupiga nae picha.
ray1
EXCLUSIVE: Usher hides behind a mask to surprise his fans in Venice, CA
ray4

MASAU BWIRE ATUA OFISI ZA CHAMPIONI KUHAKIKI PICHA ZA TAMBWE KUKABWA


MHARIRI KIONGOZI WA CHAMPIONI, SALEH ALLY (KUSHOTO) AKIMUONYESHA MASAU BWIRE PICHA HALISI YA TAMBWE AKIKABWA NA GEORGE MICHAEL. KULIA NI MHARIRI WA GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO, PHILLIP NKINI.
Kuonyesha hataki mzaha, Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ametua kwenye ofisi za Gazeti namba moja kwa habari za Michezo la Championi na kutaka kuhakikisha ile picha iliyoonyesha beki George Michael akimkaba mshambuliaji Amissi Tambwe wa Yanga.


Awali Masau aliwahi kuonyesha hofu yake kuhusiana na picha hiyo kwamba huenda ilifanyiwa utundu.

Leo akiwa katika ofisi za Global Publishers, Masau alishuhudia picha hiyo pamoja na nyingine kadhaa za mechi kati ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting na kumaliza ubishi.
Masau alionyeshwa picha hizo na Mhariri Kiongozi wa Gazeti la Championi pamoja na Wahariri wengine, Phillip Nkini na Ezekiel Kitula. Pia waandishi Martha Mboma, Hans Mloli na Wilbert Molandi nao walishuhudia Masau akionyeshwa picha hizo.
  "Kwa kweli mmejitahidi sana, picha nimeziona na kweli ninawpaongeza sana. Ndiyo maana nikafika hapa kumaliza ubishi," alisema Masau kabla ya kuendelea mazungumzo mengine ya kawaida kabla ya kuondoka zake.
Picha ya Tambwe akikabwa na beki huyo ilizuia utata mkubwa. Lakini siku chache baadaye naye alizungumza na kusema aling'atwa na Tambwe.

JOSE MOURINHO AANZISHA ‘NONGWA’ NA FA

252020E900000578-0-image-m-47_1422407807575
Jose Mourinho na  Diego Costa wakizungumza wakati wa mechi dhidi ya Liverpool
Jose Mourinho amenuna baada ya chama cha soka England, FA kusema kinamtoza faini Diego Costa kwa kuonesha mchezo usiokuwa wa kiungwana.
Mourinho ameichukia FA na anaamini mfungaji wake anayeongoza kufumania nyavu ametolewa kama mbuzi wa kafara kufuatia kumchezea vibaya beki wa Liverpool, Emre Can.
Kocha huyo wa Chelsea ambaye amewahi kutozwa faini na FA alitakiwa kuwa na mkutano na waandishi wa habari kesho ijumaa kuelekea mechi ngumu dhidi ya Manchester City jumamosi, lakini ameufuta.
 
Diego Costa appears to stamp on Emre Can's right leg during a feisty Capital One Cup clash with Liverpool
 
Diego Costa alionekana kumkanyaga mguu wa kulia  Emre Can kwenye mechi ya nusu fainali ya Capital One dhidi ya  Liverpool
Costa could now face a three-game ban after being charged by the FA for his stamp on Can
Costa anaweza kufungiwa mechi tatu baada ya kutozwa faini na FA kutokana na kitendo hicho alichomfanyia Can.
Klabu ya Chelsea imefuta ratiba ya mkutano na waandishi wa habari na hatawathubutu hata kumtuma kocha msaidizi, Steve Holland kuzungumza na vyombo vya habari.
Imethibitishwa kuwa kikao cha nidhamu cha FA kitakachokaa kesho kitamuadhibu Costa.
Licha ya Costa kukataa kosa lake, mshambuliaji huyo wa Chelsea anatarajia kufungiwa mechi tatu kuanzia ya jumamosi dhidi ya Man City.

TAMBWE: BADO HATUJAFIKIA KIWANGO TUNACHOTAKA NA HATUJAKATA TAMAA


TAMBWE(KULIA) AKIWA MAZOEZINI YANGA
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amesema licha ya kutofanya vizuri katika kiwango anachotaka yeye na wenzake, wamekuwa wakiendelea kujituma tu.



Tambwe amesema wamekuwa wakijituma kwa juhudi kubwa huku wakiamini mambo yatabadilika kama hawatakata tamaa.

"Unajua ukiendelea kujituma, hata kama hayaendi vizuri baadaye yanaweza kubadilika na ukafanya vizuri.

"Kitu kizuri mimi na wenzangu hatukati tamaa, hata ukija mazoezini utaona watu wanavyojituma na tuna imani siku itafika tuanze kufanya vizuri," alisema Tambwe.

PLUIJM ASEMA WATAIMARIKA KWA KUCHEZA MECHI NGUMU


PLUIJM (KUSHOTO) AKIWA NA MENEJA WA YANGA, HAFIDHI SALEH.
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema kikosi chake kitakuwa kinaimarika zaidi kutokana na wanavyocheza mechi ngumu.

Pluijm raia wa Uholanzi amesema kikosi chake kina ubora wa juu lakini kuna mambo yanayotakiwa kurekebishwa.

"Ndiyo maana tunaendelea kupambana, tunafanya kazi na kila mara tunazungumza.

"Hivyo si jambo la leo pekee au kesho, tunaendelea kubadilisha na sasa nguvu nyingi iko kwa ajili ya mechi ijayo dhidi ya Ndanda FC.

"Tuna muda wa kutosha kujiandaa kabla ya mechi hiyo ya Jumapili na tuna mambo muhimu ya kubadili. Kikubwa ni kila mtu kumuamini mwenzake," alisema Pluijm.

Chelsea kumuuza mchezaji Schurrle

 
Andre Schurrle
Chelsea imekubali kumuuza mshambuliaji wake Andre Schurrle ili kupata ufadhili wa kumsajili Juan Cuadrado.
Hatua hiyo ya kumsajili Cuadrado mwenye umri wa miaka 26 inaweza kukamilishwa katika mda unaohitajika kwa yeye kuichezea Chelsea dhidi ya Mancity siku ya jumamosi.
Gazeti la Mail online limegundua kwamba makubaliano hayo ambapo takriban pauni millioni 60 zitatumika yanakaribia katika kipindi cha saa 24 zijazo.
Chelsea inamuuza Shurrle kwa kitita cha pauni millioni 30 huku kilabu ya Wolfburg ikimhitaji nayo Borussia Dortmund pia nayo ikimtaka.
Kocha Jose Mourinho hampendelei mchezaji huyo wa Ujerumani,lakini anatambua thamani yake katika soko la uhamisho.
Mshambuliaji huyo wa Ujerumani vilevile anataka kurudi nyumbani.
 

JAY MOE; NARUDI KIVINGINE MSISHANGAE MKINISIKIA KWENYE BEAT KAMA ZA AKINAASAP ROCKY AU FRENCH MONTANA

Jay moe anarudi tena. Hata hivyo ametoa onyo kwa mashabiki wake wa kitambo wasistuke sana kumsikia akirap tofauti na walivyo mzoea.
Akiongea na kipindi cha Siz kitaa kinachorushwa na clouds tv hit maker huyo wa "kama unataka demu" amedai kuwa baada ya kukaa kimya kwa miaka miwili ambapo alikuwa anafanya mambo muhimu ya kimaisha hivi karibuni atarejea tena kwenye muziki.

Raper huyo amesema mashabiki wategemee makubwa kwa sababu muziki umebadilika na yeye hajaachwa nyuma huku akisema kuwa beat aliyo itumia ni kama zile zinazofanya vizuri marekani za wasanii kama Asap rocky au French montana.

Amesema wimbo huo ametumia mtindo tofauti ambao watu wengi hawategemei kama anaweza kuifanya kwa mtindo wa kizazi cha kisasa.

Moe anadai amesharekodi wimbo mpya uitwao "Jah" alio mshirikisha Gnako.


 

GUINEA YASHINDA BAHATI NASIBU NA KUTINGA ROBO FAINALI AFCON

Guinea-720GUINEA imeshinda kamari iliyopigwa kupata timu ya pili ya kundi D inayofuzu robo fainali ya kombe la Mataifa ya Africa, Afcon 2015 na sasa itacheza na Ghana katika hatua hiyo.
Sheria ya CAF kipengele cha 74 kimetumika kuamua mshindi baina ya Mali na Guinea ambao walimaliza wakifanana kwa kila kitu.
Sheria hiyo pia inatumika na shirikisho la soka Duniani FIFA.

SHULE YA MUZIKI ALIYO AHIDI KUFUNGUA TUNDA MAN YAMTOA JASHO

 Muimbaji wa hit single ya msambinungwa Tunda man amekutana na kigingi kizito katika mpango wake wa kufungua shule ya muziki

Tunda man alisema kuwa aliambiwa kuna vitu atimize alafu ndo afanye hivyo kwa hiyo nimeambiwa nikamilishe vigezo ndo kibali nitapewa kwa sababu hii ni shule kama shule nyingine,kwahiyo tupo kwenye kukamilisha hivyo vigezo na kuna watu nashilikiana nao kwa sababu wao wana elimu ya kutosha kwenda kulipa TRA na kuna mengine yapo deep sana alisema tunda man.

Mimi nilijua suala rahisi sana kumbe kuna vitu vingi vinatakiwa kuvikamilisha kitaaluma zaidi na si kimuziki. Nadhani kabla ya pasaka kila kitu kitakuwa tayari na wanafunzi wataanza kujifunza.

Kombe la mataifa ya Afrika 2015 - Mpangilio na matokeo


31 Januari 2015
Congo
Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo
 
31 Januari 2015
Tunisia
Equitorial Guinea
 
1 Februari 2015
Ghana
Kundi D nafasi ya pili
 
1 Februari 2015
Cote d'voire
Algeria
 
4 Februari 2015
Mshindi robo fainali ya kwanza
Mshindi robo fainali ya nne
 
5 Februari 2015
Mshindi robo fainali ya pili
Mshindi robo fainali ya tatu
 
7 Februari 2015
Timu iliyoshindwa nusu fainali ya kwanza
Timu iliyoshindwa nusu fainali ya pili
 
8 Februari 2015
Timu iliyoshinda nusu fainali ya kwanza
Timu iliyoshinda nusu fainali ya pili

NASRI ATUPIA PICHA KWENYE MTANDAO AKIMALIZIA KULA BATA


SAMIR NASRI AMETUPIA PICHA KWENYE MTANDAO WA INSTAGRAM AKIONYESHA ANAKULA BATA TU. KIUNGO HUYO WA MAN CITY ALIKUWA MAJERUHI LAKINI INAONEKANA SOON ANAREJEA.

FIFA WATUA NCHINI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA UPANGAJI MATOKEO



Ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo.

Waamuzi waliosimamishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu  Tanzania (TFF) pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na Fifa baada ya shughuli hiyo kukamilika.
Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira wa miguu wazidi kuzingatia kanuni za maadili za TFF, Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) na Fifa katika utendaji wao. FIFA itahakikisha kuwa haki inatendeka katika uchunguzi ambao inaufanya.

MLIBERIA WA YANGA ATAKA APEWE MUDA TU, ANA UHAKIKA ATATUPIA TU NYAVUNI.



Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman, amewataka mashabiki na wanachama wa Yanga kutomkatia tamaa kutokana na ukame wa mabao na kusema wanatakiwa kuwa wavumilivu.

Nyota huyo wa zamani wa Cetinkaya ya nchini Cyprus, anaaminika kuwa na makeke pamoja na usumbufu kwa safu za ulinzi, lakini kikwazo kikubwa kwake ni kuweka mpira kimiani, hali ambayo na yeye anakiri kumkwaza.

Sherman amesema mashabiki wanatakiwa kumpa muda wa kutosha na kwamba ipo siku hali hiyo itaisha na atawapa furaha.

“Mimi mwenyewe sijui, ila naamini ni hali ya kawaida kwa kila mchezaji kumtokea. Unakuwa na nafasi ya kufunga lakini unashindwa kufanya hivyo, ila binafsi naamini ni hali ya kupita. Cha msingi ni mashabiki wetu kuwa na subira.”

Alipoulizwa kama ni kuchezeshwa nafasi ya fowadi badala ya nafasi yake ya zamani, winga kushoto, Sherman alisema: “Hapana, kwanza kupangwa nafasi flani ni matakwa ya mwalimu, kwa hiyo pengine ameona ninafaa zaidi kucheza kama mshambuliaji wa pili ndiyo maana bado ananipa nafasi mara kadhaa katika nafasi hiyo.”

Gabriel Paulista completes £11.2m Arsenal transfer... as Joel Campbell signs new contract before loan to Villarreal

  • Gabriel Paulista has signed a four-and-a-half year contract at Arsenal
  • The defender will earn a basic salary of around £60,000-a-week at the Emirates 
  • He said: 'Fans can expect to find a Gabriel with a great will to help everyone.' 
  • Joel Campbell joins Villarreal on loan for rest of the season
  • But club reveal Campbell has also signed new deal to stay for long term
 Gabriel Paulista poses with an Arsenal shirt as the club unveil their new signing on Wednesday

 The 24-year-old defender was granted a work permit despite earlier fears it would be rejected


 Gabriel has already talked up his team ethic, and showed off his skills at the club's London Colney base 


 The former Villarreal defender put pen to paper on his contract before signing a club shirt 

The Brazilian defender will be competing with Laurent Koscielny and Per Mertesacker for a place in central defence


The 24-year-old gets on the ball for his former side in the recent Copa del Rey quarter-finals against Getafe
Gabriel Paulista has hailed the chance to play in the Premier League as a dream come true after joining Arsenal from Villarreal, with striker Joel Campbell going to the Spanish club on loan for the rest of the season.
The 24-year-old Brazilian centre back was granted a work permit despite not yet having played for his country and joins Arsene Wenger's side for £11.2million on a four-and-a-half year deal. 'I want to thank God for the opportunity,' he told the club's website. 'Thanks to God, this wonderful club came to me, and they can count on me to be able to help everybody here.'
Arsenal also confirmed that Campbell's loan deal was complete, but delivered the surprise news that the 22-year-old Costa Rica striker had signed a new, long-term contract before heading to Spain.

Gabriel, who will earn a basic salary of around £60,000-a-week at the Emirates, admitted that playing in the Premier League was a dream come true and revealed that he joined Arsenal after a personal request to sign by Wenger.
'I came on his request, on the coach’s request,' he told the club's website. 'He asked to sign me and that gives me more strength and the will to be able to work. I see that he’s a coach that has been here for many years and this is important, not only for the team but also for the club. This is very important for everyone that works here in the club, to have a coach like this.' 
Despite the praise for his new boss, Gabriel also sees signs that Arsenal need to get better and improve on their performances so far this season.
'The few games I have watched and witnessed, during the season, I saw that there is room for improvement,' he said. 'We have a lot to conquer because Arsenal is a very big club, we must always be at the top. I think it’s a club that will keep growing throughout the season, and that over the next few years we will be able to win important titles.' 
Gabriel will primarily compete with the likes of Laurent Koscielny and Per Mertesacker for a place at centre-half, a task he admits is 'not going to be easy' - but he can also play on the right or left side of the backline. 
'I am very anxious and that is something that is normal to a young player, playing at such a high level,' he added. 'So I am very anxious to be able to start at this huge, beautiful stadium, a stadium that the fans come to, to be able to support us. It’s something I’ve always noticed when I watch Arsenal.'
He was an ever-present in the Yellow Submarine's defence until being left out of the squad to face Levante last Saturday, with his move to the Emirates Stadium at an advanced stage.
'I came from a club that is not that big in Brazilian football (Esporte Clube Vitoria),' said Gabriel. 'I went to Spanish football and that was another dream come true, to play in Europe.
'A while ago I had a really huge desire to play in the Premier League, so since that point I put it in my head that I really wanted to do it. I had a talk with my family and I told them that it was my dream to play in the Premier League. Getting here to such a big club is so gratifying.
'I am arriving at a big club and the fans can expect to find a Gabriel with a great will to help everyone. Not just thinking of me as an individual, because to me that is not important. 
'I care more about helping the team and my team-mates. I want to help everyone, so the fans can expect a Gabriel that on the field has a lot of will to be able to help the team win important things.' 

Despite being restricted to just three starts for the Gunners this season, Campbell has penned a new deal. A club statement said the move was for the young forward 'to gain more valuable first-team experience'.
He had enjoyed a successful spell on loan at Olympiacos last season, where he made an impression in the Champions League and scored 11 goals in 43 appearances. He went on to play a part in his country's surprise qualification from the group stages - at England's expense -  at the World Cup last summer. 

GABRIEL PAULISTA Q&A 
The following is a transcript of an interview with Gabriel Paulista by Arsenal Media. 

Gabriel, welcome to Arsenal. How does it feel to have signed for the club?
'First of all I want to thank God for the opportunity. It’s another dream in my career that has come true. I have only just arrived but I am already feeling really good here in London. I’m at a top club so that gives me more strength to be able to work and carry on, to be able to conquer much more in my career.'

What do you know about Arsenal?
'I always watched Arsenal games and I could always see that it was a really big club with a great infrastructure. So I think that what I thought hasn’t surprised me a lot, because I arrived to a very big infrastructure. It’s a huge club, even more so than I expected. I am very happy with everything – with all the people I have been dealing with since I arrived.'

What appeals to you most about playing for the club?
'I came from a club that is not that big in Brazilian football. I went to Spanish football and that was another dream come true, to play in Europe. A while ago I had a really huge desire to be able to play in the Premier League, so since that point I put it in my head that I really wanted to do it. I had a talk with my family and I told them that it was my dream to play in the Premier League. And I don’t know, I just got this call - Arsenal came to sign me, so to me, for my work, for everything I have been doing, things are just happening for me. Getting here to such a big club is so gratifying.'

That’s good, it just happened out of the blue?
'Yes, in our pre-season we played two friendly games here in England, so from then on it just started. Something came over me, I can’t explain it… good things, I just wanted to play here in England. I didn’t think of any teams or anything, I just knew I wanted to play in the Premier League. Thanks to God, this wonderful club came to me, and they can count on me to be able to help everybody here.'

How much are you looking forward to playing at a ground like the Emirates Stadium?
'I am very anxious and that is something that is normal to a young player, playing at such a high level. So I am very anxious to be able to start at this huge, beautiful stadium, a stadium that the fans come to, to be able to support us. It’s something I’ve always noticed when I watch Arsenal. I’m really looking forward to training with my new team-mates, to get to know everyone and to have a good start.'

How influential was Arsene Wenger in your decision to come to club?
'To me it’s something big… I came on his request, on the coach’s request. He asked to sign me and that gives me more strength and the will to be able to work. I see that he’s a coach that has been here for many years and this is important, not only for the team but also for the club. This is very important for everyone that works here in the club, to have a coach like this.'

What have you made of Arsenal’s performances this season?
'The few games I have watched and witnessed, during the season, I saw that there is room for improvement. We have a lot to conquer because Arsenal is a very big club, we must always be at the top. I think it’s a club that will keep growing throughout the season, and that over the next few years we will be able to win important titles.'

You will be competing with the likes of Per Mertesacker and Laurent Koscielny for a place in the team. How highly do you rate them?
'I’m coming to a very big club and I know that I will play with great players. While respecting everyone, I want to play for my place in the team. I know that is not going to be easy, I must show my potential, I have to show that I can be in the group, that the manager can count on me. The same goes to all my team-mates. I will carry on the same way I have been since the beginning of my career. I have always respected everyone to get to where I am in my career, and I want even more.'

How confident are you that Arsenal can compete for biggest prizes?
'I know that we have great players of a high standard, players who are real stars, because if they were not stars they wouldn’t be here. Arsenal is a very big team and it must always be competing for the biggest titles in the world. I have to repeat it - Arsenal must fight for all the most important titles around.'

Finally, have you got a message for the Arsenal fans?
'I am arriving at a big club like this and the fans can expect to find a Gabriel with a great will to help everyone. Not just thinking of me as an individual, because to me that is not important. I care more about helping the team and my team-mates also think that. I want to help everyone, so the fans can expect a Gabriel that on the field has a lot of will to be able to help the team win important things.'

IVORY COAST YASONGA ROBO FAINALI AFCON, CAMEROON YASHIKA MKIA, NJE



Ivory Coast imefuzu hadi hatua ya robo fainali ya michuano ya Afcon inayoendelea nchini Equatorial Guinea baada ya kuichapa Cameroon kwa bao 1-0.

Lakini pigo kwa Afrika Magharibi baada ya Cameroon kufuzu katika hatua hiyo ya makundi.
Lakini gumzo ni Mali na Guinea ambazo zimeringana pointi tatu kila moja, mabao ya kufunga na kufungwa.
Caf ilieleza utafanyika utaratibu wa droo ili kupata uhakika timu gani iliyofuzu na baadhi waliishatangaza kuwa Guines ndiyo iliyofuzu.

Timu hizo mbili zilitoka sare ya bao 1-1 katika mechi yao ya mwisho na kufikisha pointi tatu huku Cameroon ikishika mkia kwa kuwa na pointi 2 na vinara ni Ivory Coast wenye pointi 5.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

BREAKING NEWS:TOTENHAM 2 Vs 2 SHEFFIELD UTD

MPIRA UMEISHA..................................