SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Jan 31, 2016

HII NDIO SABABU YA SAMATTA KUVAA JEZI NAMBA 77

Mbwana Samatta ambaye kwasasa ni mchezaji wa kulipwa wa klabu ya Genk ya Ubelgiji amezungumza na shaffihdauda.co.tz kwanini
ameamua kuchagua kuvaa jezi yenye namba 77 mgongoni.

Samatta amesema alitokea kuipenda jezi namba saba tangu akiwa TP Mazembe ikafikia wakati
akaanza kuushawishi uongozi wa klabu hiyo umbadilishie jezi lakini ilikuwa ngumu kwasababu tayari kulkikuwa na mchezaji akiivaa
jezi hiyo.