SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 31, 2016

HII NDIO SABABU YA SAMATTA KUVAA JEZI NAMBA 77

Mbwana Samatta ambaye kwasasa ni mchezaji wa kulipwa wa klabu ya Genk ya Ubelgiji amezungumza na shaffihdauda.co.tz kwanini ameamua kuchagua kuvaa jezi yenye namba 77 mgongoni. Samatta amesema alitokea kuipenda jezi namba saba tangu akiwa TP Mazembe ikafikia wakati akaanza kuushawishi uongozi wa klabu...