SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 6, 2015

Kurasa za #Magazeti leo MAY 6 2015 zimeamka na hizi kubwa

...

KAMARA ATUA DAR, JE ATAKWENDA TIMU GANI?

Kiungo Lansana Kamara (kushoto) akiwa na Meneja wake, Gibby Kalule baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa KImataifa wa Julius Nyerere (JKNI), Dar es Salaam jana. Mchezaji huyo raia wa Sierra Leone aliyekuwa anacheza Sweden, amekuja Tanzania kutafuta timu ya kuchezea na yuko tayari...

MANNY PACQUIAO HATARINI KUCHUKULIWA HATUA KALI ZA KISHERIA, AWEZA TUPWA JELA HADI MIAKA MINNE

BONDIA Manny Pacquiao anaweza kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu kwa kutoorodhesha maumivu yake ya bega kwenye fomu maalum ya taarifa za bondia kabla ya pambano lake na Floyd Mayweather alilopoteza kwa pointi. Pacquiao anaweza kuwa nje ya ulingo hadi mwaka mmoja wakati anajiandaa kwenda...

TEVEZ AWAONDOA ‘VICHWA CHINI’ REAL TURIN, JUVE YANG’ARA NYUMBANI 2-1

REAL Madrid wameanza vibaya Nusu Fainali ya kwanza Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kufungwa mabao 2-1 na wenyeji Juventus Uwanja wa Juventus mjini Turin usiku wa jana.Real sasa itahitaji ushindi wa 1-0 katika mchezo wa marudiano wiki ijayo mjini Madrid ili kuking’oa ‘Kibibi Kizee cha Turin’ katika...