SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 18, 2015

MBEYA CITY YANG’ARA, YAILAZA STAND UTD 2-0

MBEYA City imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stand United ya Shinyanga jioni ya leo Uwanja wa Sokoine, Mbeya.Mabao ya Mbeya City inayodhaminiwa na kampuni ya Bin Slum Tyres Limited kupitia betri za RB, yamefungwa na Yussuf Abdallah dakika ya 65 kwa penalti na Paul Nonga dakika...

SIMBA YAKALISHWA TANGA, YAPIGWA 2-0 NA MGAMBO, IVO ALIMWA NYEKUNDU, OKWI…

Na Princess Asia, TANGASIMBA SC imepunguzwa kasi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baada ya kufungwa mabao 2-0 na Mgambo Shooting Uwanja wa Mkwakwani, Tanga jioni ya leo.Matokeo hayo yanazidi kuondoa matumaini ya Simba SC inayofundishwa na Mserbia, Goran Kopunovic siyo tu kutwaa ubingwa,...

YANGA YAREJEA KILELENI LIGI KUU, KAGERA WAPIGWA 2-1 TAIFA

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMYANGA SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo.Katika mchezo huo, uliochezeshwa na refa Andrew Shamba kutoka Pwani, aliyesaidiwa na...

YANGA KUIVAA KAGERA BILA MASTAA WAKE ZAIDI YA WATANO

Na Prince Akbar, DAR ES SALAAMYANGA SC inashuka dimbani leo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumenyana na Kagera Sugar kujaribu kurudi kileleni mwa LIgi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, lakini itawakosa wachezaji wake sita tegemeo.Hao ni beki Kevin Yondan, kiungo Said Juma ‘Kizota’na...

KILICHO ANDIKWA KWENYE KURASA ZA MWANZO ZA MAGAZETI YA MICHEZO KIPO HAPA

. . . . . ....

MANJI AMPANDISHA KIZIMBANI MFADHILI WA SIMBA, WAKILI NDUMBARO AIBUKIA MAHAKAMANI KUMTETEA

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAMMFADHILI wa muda mrefu wa Simba SC, Muslah Al Rawah leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam kwa shitaka la kumjeruhi mtoto wa Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji, aitwaye Meheub Manji.Wakili wa Serikali,...

MTOTO WA MCHEZAJI YANGA AWA MSEMAJI WA KLABU YA SIMBA

Hajji Sunday katika 'gwanda' la CCM  MTOTO wa mchezaji wa zamani wa Yanga SC, Sunday Manara ‘Computer’, aitwaye Hajji Sundy ameteuliwa kuwa Msemaji ya klabu ya Simba SC.Taarifa ya Simba SC iliyotolewa leo, imesema kwamba aliyekuwa Msemaji wa klabu hiyo, Humphrey Nyasio sasa...

DROGBA AREJEA GALATASARAY, AWASALIMIA WASHIKAJI WAKE

MSHAMBULIAJI DIDIER DROGBA AMEONYESHA ANAJALI KWELI BAADA YA KUREJEA JIJINI ISTAMBUL, UTURUKI NA KWENDA KUWATEMBELEA WACHEZAJI WENZAKE WA ZAMANI WA KIKOSI CHA GALATASARAY ALIYOICHEZEA MSIMU ULIOPITA. ...

ARSENAL YASHINDA 2-0 LAKINI SAFARI YAWAKUTA, YATOLEWA LIGI YA MABINGWA

Arsenal wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya AS Monaco wakiwa ugenini. Lakini wametolewa na kushindwa kusonga katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kilichowang’oa Arsenal ni kupoteza kwa mabao 3-1 katika mechi ya kwanza wakiwa nyumbani Emirates, London. Olvier Giroud...