SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 28, 2015

‘KAPTENI’ HANS POPPE AWASHUKIA MAWAKALA UCHWARA BONGO

Na Hemed Kivuyo, DAR ES SALAAM MWENYEKITI kamati ya usajili ya timu ya soka ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe amewatolea uvivu wale wanaojiita `mawakala `wa wachezaji hapa nchini waliyoanza kujitokeza Nyakati hizi za Usajili wakipanga bei za Wachezaji bila kufuata utaratibu. Amesema kuwa wakati...

SIMBA SC YASAJILI MABEKI WAWILI KWA MPIGO, MMOJA WA AZAM MWINGINE WA JKT RUVU

  Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM SIMBA SC imesajili mabeki wawili wa Kizanzibari, Samir Hajji Nuhu wa kushoto na Mohammed Fakhi wa kati usiku wa leo. Nuhu alikuwa mchezaji wa Azam FC kwa misimu miwili hadi msimu wa 2013/2014 kabla ya kuumia goti na kuondolewa katika usajili,...