SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 20, 2016

SAMATTA ARUDI MAZEMBE KUMALIZIA MKATABA, KATUMBI HOI

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta anaondoka asubuhi ya leo kwenda Lubumbashi, Jamhuri ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kujiunga na klabu yake, TP Mazembe wakati sakata la uhamisho wake likiendelea. Samatta anaondoka na Maofisa wa Wizara ya Michezo walioteuliwa kwenda...