
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa
Tanzania, Mbwana Ally Samatta
anaondoka asubuhi ya leo kwenda
Lubumbashi, Jamhuri ya Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo (DRC),
kujiunga na klabu yake, TP Mazembe
wakati sakata la uhamisho wake
likiendelea.
Samatta anaondoka na Maofisa wa
Wizara ya Michezo walioteuliwa
kwenda...