
Frank Lampard, Didier Drogba, Steven Gerrard na Brad Fiedal leo
watacheza mechi zao za mwisho katika ligi kuu ya England baada ya miaka
zaidi ya 10 kwa kila mmoja wao.
Hata hivyo macho na masikio ya wapenzi wengi wa soka yapo katika
kuangalia hatma ya mshambuliaji wa kicolombia Radamek...