SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 14, 2016

BODABODA FC YAICHAPA BLACK STARS

Na Haji balou Timu ya Boda boda fc imeibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Black stars katika mchezo wa ligi ya Mbuzi ya Vijana Cup mchezo uliopigwa katika uwanja wa shule ya  Msingi Muungano. Magoli ya Boda boda fc yamefungwa dakika ya 27 kupitia kwa kiungo wake mshambuliaji Abuu pia goli...