
Na Princess Asia, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Amissi Tambwe ameshinda kesi dhidi ya klabu yake ya zamani, Simba SC juu ya mafao yake.Simba
SC ilimtema mshambuliaji huyo wa Burundi ndani ya Mkataba, lakini
ikashindwa kumlipa, naye akafungua kesi Shirikisho la Soka Tanzania
(TFF).Kesi...