
MSHAMBULIAJI
wa Bracelona, Lionel Messi ndiye mchezaji anayelipwa zaidi kwa sasa
duniani, akiwa anaingiza karibu Pauni Milioni 1 kwa wiki kutokana na
mshahara na mikataba ya udhamini.
Nyota
huyo wa kimataifa wa Argentina aliingiza pauni Milioni 47.8 mwaka 2014
za udhamini pamoja...