SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 26, 2015

MESSI NDIYE MWANASOKA 'MKUNJA MKWANJA MNENE' DUNIA NZIMA, MOURNHO ATISHA KWA MAKOCHA

MSHAMBULIAJI wa Bracelona, Lionel Messi ndiye mchezaji anayelipwa zaidi kwa sasa duniani, akiwa anaingiza karibu Pauni Milioni 1 kwa wiki kutokana na mshahara na mikataba ya udhamini. Nyota huyo wa kimataifa wa Argentina aliingiza pauni Milioni 47.8 mwaka 2014 za udhamini pamoja...