
Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
AZAM FC imewataka Simba SC kuwasilisha maombi ya kumchukua beki David Mwantika (pichani kushoto) kama kweli kweli wanamuhitaji.
Ofisa
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba ameiambia BIN ZUBEIRY jana
kwamba, Mwantika ana Mkataba na klabu hiyo hadi mwishoni mwa...