
Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam
MSHAMBULIAJI wa Mabingwa wa
zamani wa ligi kuu ya Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans, Simon
Msuvu baada ya kufanikiwa kuipandisha timu yake katika kilele cha ligi
hiyo kwa kuifungia mabao mawili kati ya matatu katika mchezo dhidi ya
Tanzania Prisons,...