SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 20, 2015

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA LEO 20 FEB

. . . . . ...

BALOTELLI AING’ARISHA LIVERPOOL DAKIKA ZA MWISHO

BAO pekee la mshambuliaji wa kimataifa wa Italia,  Mario Balotelli limeipa Liverpool ushindi wa 1-0 dhidi ya Besiktas katika mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League Uwanja wa Anfield usiku wa jana. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Manchester City, Inter Milan na AC Milan, alifunga...

ALICHOSEMA MSUVA BAADA KUIFUNGA PRISONS

Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam MSHAMBULIAJI wa Mabingwa wa zamani wa ligi kuu ya Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans, Simon Msuvu baada ya kufanikiwa kuipandisha timu yake katika kilele cha ligi hiyo kwa kuifungia mabao mawili kati ya matatu katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons,...