SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 4, 2015

STEPHEN KESHI KUTUA AZAM FC

Na, Richard Bakana, Dar Es Salaam Baada ya kumfungashia vilango vyake aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Azama FC, Mcameroon, Joseph Omog, Sasa wanalambalamba hao wapo kwenye mpango wa kumpatia mikoba hiyo Stephen Keshi aliyekuwa kocha wa Timu ya Taifa ya Nigeria. Akizungumza  na Shaffihdauda.com ...

VAN GAAL AWAZUIA MABEKI KUMRUDISHIA MIPIRA DE GEA

BAADA ya mashabiki wa Manchester United kuwazomea wachezaji wa timu hiyo katika mechi ya jumamosi iliyopita dhidi paka weusi Sunderland, kocha Louis Van Gaal amekuja juu na kuwataka wachezaji wake kutorudisha mpira mara kwa mara kwa kipa David de gea.Mashabiki hao waliokuwepo katika mechi hiyo...

AZAM FC YAANZA KUSAKA KOCHA MSAIDIZI, BEST AWE BOSI MKUU

Uongozi wa Azam FC, umeanza juhudi za kusaka kocha msaidizi kwa ajili ya kikosi chao. George ‘Best’ Nsimbe amepewa nafasi ya kuendelea kama kocha mkuu, huku kocha msaidizi akitafutwa. Habari za uhakika kutoka Azam FC zimeeleza kuwa tayari juhudi za kumsaka kocha msaidizi zimeanza. "Kweli...

MTIBWA SUGAR IMEAMKA NA KUFANIKIWA KUITWANGA POLISI

Baada ya wakati mgumu wa kufungwa mfululizo hatimaye Mtibwa Sugar imerejea katika listi ya ushindi. Mtibwa Sugar imeifunga Polisi Moro kwa mabao 2-1 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Manungu mjini Turiani. Polisi ndiyo walikuwa wa kwanza kuandika bao kupitia Said Bahanuzi katika...

MJUMBE WA KAMATI YA UTENDAJI SIMBA ASEMA JERRY MURO MGENI KATIKA SOKA

TULLY (KULIA) AKIZUNGUMZA NA KOCHA WA ORLANDO PIRATES WAKATI SIMBA ILIPOKUWA KAMBINI NCHINI AFRIKA KUSINI, MWISHONI MWA MWAKA JANA. Mjumbe wa kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tully amesema mpira umeingiliwa kwa kuwa wanacholalamika Yanga ni sawa na kichekesho. Ingawa hajawaweka wazi,...

MAKOMBE 15 MIKONONI MWA TERRY, ANASUBIRI LA 16

Na Saleh Ally OKTOBA 28, 1998 beki John Terry akiwa kinda aliingia uwanjani kuichezea Chelsea mechi yake ya kwanza ikipambana na Aston Villa katika mechi ya Kombe la Ligi. Miaka 10 baadaye, ilikuwa 2008, Terry akawa adui baada ya kuteleza na kukosa penalti ya mwisho katika fainali ya...

MBEYA CITY WAFUNGUKA KUHUSIANA NA VIPIGO VYAO

Licha ya kutokuwa na kasi kama msimu uliopita, klabu ya Mbeya City imefunguka kuwa matokeo wanayopata kwa sasa ni kawaida kwa sababu hakuna timu ambayo inaweza kushinda kila mchezo. Timu hiyo msimu uliopita ilikuwa moto na kuweza kufanya vyema huku ikimaliza katika nafasi ya tatu...

IVO; BEKI AKIZINGUA ANAKULA NGUMI

Kipa namba moja wa Simba, Ivo Mapunda, amewapa onyo la mwisho mabeki wake na kuwaambia kuwa wawe makini kwa dakika zote 90. Kipa huyo mzoefu amesema mabeki hao wanatakiwa kuacha kufanya makosa ya kizembe, la sivyo ataenda mbali zaidi kwa kuwaonya kwa kuwapiga ngumi. Katika mechi dhidi...

BEKI MGANDA SIMBA AWATUMIA SALAMU YANGA

Kitasa Mganda wa Simba, Juuko Murshid, ameibuka na kuitahadharisha safu ya ushambuliaji ya Yanga na kusema hawapati kitu. Beki huyo ametoa onyo hilo zikiwa ni siku chache zimebaki kabla timu hizo hazijaumana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Jumapili hii. Murshid amesema anajua mchezo...

SIMBA YAMFUKUZIA NDUGU YAKE TWITE

MBUYU (KUSHOTO) NA KABANGE WAKATI WAKIICHEZEA APR YA RWANDA. Jina la nahodha na kiungo mkabaji wa FC Lupopo ya Kongo, Kabange Twite, limetajwa kwenye orodha ya wachezaji anaowataka Kocha Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic, kwenye usajili wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Awali, kiungo...

YANGA YAWEKA KAMBI BAGAMOYO KUSAKA POINTI TATU DHIDI YA SIMBA

Katika kuhakikisha timu yao inafanya mazoezi kwenye hali tulivu na salama, Yanga wamejificha kwenye eneo lenye msitu mkubwa huku kukiwa na siafu wengi. Yanga wanajiwinda na mchezo dhidi ya Simba utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumapili ijayo. Yanga yenyewe iliyoweka...

ZIPO HAPA KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO LEO MARCH 4

. . ....