
Na, Richard Bakana, Dar Es Salaam
Baada ya kumfungashia vilango
vyake aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Azama FC, Mcameroon, Joseph Omog,
Sasa wanalambalamba hao wapo kwenye mpango wa kumpatia mikoba hiyo
Stephen Keshi aliyekuwa kocha wa Timu ya Taifa ya Nigeria.
Akizungumza na Shaffihdauda.com
...