SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

May 26, 2016

ROBO FAINAL VIJANA CUP YAANZA RASMI LEO

Na Haji balou
Hatua ya robo final ya ligi ya mbuzi vijana cup imeanza Leo kwa mchezo mmoja kupigwa  katika uwanja wa Shule ya msingi muungano.

Mchezo huo ulikuwa ni kati ya wakaanga sumu fc  dhidi ya kigamboni fc Mchezo ulio malizika kwa wakaanga sumu kuibuka Na ushindi wa goli 2-1.