SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jul 14, 2016

MHISPANIA WA AZAM FC ATAJA TOFAUTI YA MAKIPA WA HISPANIA NA TANZANIA

Na Haji Balou KOCHA Mkuu wa makipa wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Jose Garcia, amesema kuwa makipa aliowakuta ndani ya timu hiyo wapo vizuri. Kocha huyo hakusita kuelezea utofauti wa makipa kutoka Tanzania na Hispania mara baada ya kuwaona wa Azam FC, ambapo alisema magolikipa...

WACHEZAJI KUMI WALIO KAMILISHA USAJILI LIGI KUU BARA

Na Haji Balou AKlabu za Ligi Kuu Bara kwa ajili ya msimu mpya ligi kuu bara 2016/2017, kwa kuboresha baadhi ya maeneo yenye mapungufu na kuyaongezea nguvu. Atupele Green (ametoka Ndanda kwenda JKT Ruvu) Mfungaji bora wa kombe la shirikisho FA na klabu ya Ndanda kwa msimu uliomalizika amemwaga wino...