
Hili ni tawi jipya linaloisapoti klabu ya Yanga mabingwa
wapya wa ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015. Tawi hili kwa
sasa ndio limeanzishwa na tayari lina viongozi wa muda ambao
wataliongoza kwa muda pia ili liweze kufikia malengo yake na ya klabu
ya Yanga kufika...