SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 21, 2015

BONGO MOVIE WAANZISHA TAWI LA YANGA

Hili ni tawi jipya linaloisapoti klabu ya Yanga  mabingwa wapya wa ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015. Tawi hili kwa sasa ndio limeanzishwa na tayari lina viongozi wa muda ambao wataliongoza  kwa muda pia ili liweze kufikia malengo yake na ya klabu ya Yanga kufika...

MFUNGAJI BORA KAGERA ASAINI MWADUI

Mandawa (wa pili kushoto) alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu soka Tanzania bara mwezi Novemba mwaka jana MWADUI FC imetia chumvi kwenye kidonda cha Kagera Sugar baada ya kuinasa saini ya mfungaji hatari wa ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015, Rashid Mandawa. Mandawa aliyefunga...

JUMA MWAMBUSI ATAJA KIKOSI BORA LIGI KUU VPL 2014/2015

Kocha mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi TUNAENDELEA na zoezi letu la kuangalia vikosi bora vya makocha wa timu za ligi kuu soka Tanzania bara, makocha wasiokuwa na timu na wachambuzi wa soka kwa msimu wa ligi kuu wa 2014/2015 uliomalizika mei 9 mwaka huu,  Yanga wakiibuka mabingwa, Azam nafasi...

PART 3 : ADEBAYOR KATUPA TENA STORY YA FAMILIA YAKE…WALITAKA KUMUUA KISA PESA.

Hii ni sehemu kidogo ya status ya Adebayor kuhusu kaka yake Kola Leo nimeamua kuleta part 3 ya story yangu. Hii ni kwasababu kaka yangu Kola Adebayor na ndugu zangu wameamua kuzungumzia mambo ya familia kwenye social media, kutuma baria kwenda kwenye club na radio. Ningeweza kuandika kitabu...