SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 16, 2015

YANGA SC NA FC PLATINUM KATIKA PICHA JANA TAIFA

Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka beki wa FC Platinum ya Zimbabwe jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza, Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga SC ilishinda 5-1. Kiungo wa Yanga SC, Salum Telela akipambana na mchezaji wa Platinum Kiungo...

SABABU ZA MRISHO NGASSA KULIA BADALA YA KUSHANGILIA MABAO YAKE JANA DHIDII YA PLATUMN

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMRISHO Khalfan Ngassa jana amefunga mabao mawili Yanga SC ikishinda 5-1 dhidi ya Platinum FC katika mchezo wa kwanza, Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika, lakini hakushangilia badala yake akaanza kulia.Kisa nini? Ngassa ameiambia BIN ZUBEIRY...

NOOIJ AMUITA DIDA STARS JAPO HAJADAKA MIEZI MITATU YANGA

Na Baraka Kizuguto, MOROGOROLICHA ya kwamba hajacheza mechi yoyote tangu Desemba 13, mwaka jana alipodaka Yanga SC ikifungwa mabao 2-0 na watani SImba SC katika mechi ya Nani Mtani Jembe, lakini kipa Deogratius Munishi ‘Dida’ ameitwa Taifa Stars.Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania,...

YANGA SC WAFANYA MAUAJI AFRIKA, YAWATANDIKA WAZIMBABWE 5-1, NGASSA APIGA MBILI

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMYANGA SC imetanguliza mguu mmoja hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Ili Yanga isisonge mbele, inabidi ifungwe mabao 4-0 na Platinum...

HUU NDIO MSIMAMO LIGI KUU ENGLAND BAADA YA MECHI ZA WIKIEND HII

...

ANGALIA MAN UNITED ILIVYOITUNGUA TOTTENHAM 3-0, ROONEY, FELLAINI, CARRICK WAKING'ARA

  MANCHESTER UNITED 4-1-4-1: De Gea 6, Valencia 6, Jones 6.5, Smalling 7, Blind 7, Carrick 8.5 (Rafael 87'), Herrera 6.5, Mata 6.5 (Pereira 79mins), Fellaini 7.5 (Falcao 83'), Young 7.5, Rooney 8 Subs not used: Lindegaard, Blackett, Januzaj, Wilson Manager: Van Gaal...