
Kiungo
wa Yanga SC, Haruna Niyonzima akimtoka beki wa FC Platinum ya Zimbabwe
jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mchezo wa kwanza Raundi ya
Kwanza, Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga SC ilishinda 5-1.
Kiungo wa Yanga SC, Salum Telela akipambana na mchezaji wa Platinum
Kiungo...