SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 10, 2015

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO IJUMAA

Usikose kufuatilia hajibalou.blogsport.com kwa habari za michezo na burudani kila siku...

ARSENAL WATUA ARGENTINA KUKAMILISHA USAJILI WA 'MESSI'

KIONGOZI wa Arsenal, Dick Law amesafiri kwenda Argentina kukamilisha usajili wa kinda Maxi Romero. Mkuu wa mijadala ya klabu hiyo, amepaa hadi Amerika Kusini kumalizia mpango wa kumsajili mshambuliaji kinda wa miaka 16, ambaye tayari ameanza kufananishwa na Lionel Messi. The Gunners...

ALVES AFUNGASHA, AWAAGA BARCELONA, ANAKWENDA MAN UNITED AU MAN CITY

BEKI wa pembeni, Dani Alves anatazamiwa kuondoka Barcelona mwishoni mwa msimu baada ya mwakilishi wake kuthibitisha mlinzi huyo wa kulia wa Kibrazil amekataa ofa ya kuongeza Mkataba. Alves amefurahia mafanikio kwa miaka saba Barcelona, akishinda mataji manne ya Hispania na mawili ya Ligi...