
KIONGOZI wa Arsenal, Dick Law amesafiri kwenda Argentina kukamilisha usajili wa kinda Maxi Romero.
Mkuu
wa mijadala ya klabu hiyo, amepaa hadi Amerika Kusini kumalizia mpango
wa kumsajili mshambuliaji kinda wa miaka 16, ambaye tayari ameanza
kufananishwa na Lionel Messi.
The Gunners...