
YANGA SC imeanza vizuri michuano
ya kombe la Shirikisho barani Afrika kufuatia kuichapa mabao 2-0 BDF XI
ya Botswana katika mchezo wa kwanza wa raundi ya awali uliomalizika
jioni hii uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam.
Mabingwa hao mara 24 wa Tanzania
walianza mechi hiyo kwa kuonesha...