Harry
Redknapp ameachia ngazi Queens Park Rangers kufuatia maumivu ya magoti
lakini ameweka wazi kuwa bado huo hautakuwa mwisho wake wa kufundisha
soka.
Redknapp,
67, amesema amechukua uamuzi huo...
Acctress
Jacquline Wolper kutoka katika kiwanda cha filamu bongo amewataka
watanzania kupenda kazi za wasanii wa nyumbani na kuwapa support katika
kazi zao wanazofanya ili kuwatia nguvu na...
MABINGWA wa ligi kuu Tanzania
bara, Azam fc wamemaliza ziara yao nchini Congo DR ambako wameshiriki
michuano ya Mazembe inayoendelea mjini Lubumbashi.
Azam walianza kwa kufungwa goli
1-0 na TP Mazembe, wakatoka sare ya 2-2 na Zesco United ya Zambia na leo
wamefungwa 1-0 na Don Bosco.
Katibu...
Ni siku nyingine ngumu kwa Raisi wa FC Barcelona Josep Maria Bartomeu.
Huku uchaguzi mkuu ukiwa umekaribia ndani ya Nou Camp, nafasi ya
Bartomeu kurejea madarakani imeingia shakani leo jumanne baada ya kutoka
kwa tuhuma zinazomhusisha raisi huyo wa sasa na mambo ya kukwepa kodi.
Sakata...
Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akitoa burudani.
Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akiwa na bendi yake ya Mwakaulwi Sound.
...Akiendelea kuimba.
Mkali wa Bongo Fleva ambaye mwaka 2012 alitwaa Tuzo Tano za Kili,
Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent ameibuka kivingine...
Kwa ufupi
Maombi hayo yalisomwa kwenye kikao cha 24 cha marais
wa nchi wanachama wa AU kilichofanyika Addis Ababa, Ethiopia na
ikapitishwa kwa kuundwa kamati maalumu ya kusimamia mashindano hayo.
...
Mke wa Cheka aangua kilio kortini
Bondia Francis Cheka akipanda kwenye gari ya polisi baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela. Picha na Mpigapicha Wetu
Na Hamida Shariff na Imani Makongoro, MwananchiPosted
Jumanne,Februari3
2015
saa
14:15...
Kikosi cha Yanga, kimetua
salama mjini Tanga kujiandaa na mchezo wake wa kesho dhidi ya Coastal Union.
Lakini Yanga wamekataa
kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Mkwakwani ambao walitakiwa kufanya mazoezi leo
na kuamua kufanya mazoezi kwenye uwanja wa jeshi.
Msemaji wa Yanga, Jerry
Muro...
Kocha Mkuu wa Simba, Goran
Kopunovic ameonyesha wazi masikitiko yake kutokana na kifo cha ghafla ya Kocha
Jean Marie Ntagwabila.
Kopunovic amesema
amesikitishwa na taarifa hizo kwa kuwa kocha huyo raia wa Rwanda alikuwa kati
ya rafiki na wapinzani wake kikazi.
“Wiki iliyopita nilikuwa
nafuatilia...
Mwenyekiti wa kamati ya
usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amemwambia kiungo mkongwe wa Simba,
Shabani Kisiga asidhani anausumbua uongozi wa klabu hiyo kwa kuondoka kambini.
Kisiga ameondoka kambini
Simba kwa madai amekuwa hachezeshwi, lakini Hans Poppe amesema anajipotezea
muda...
Jorge Mendes wakala wa mshambuliaji
Cristiano Ronaldo amesema mchezaji huyo ana thamani ya pauni milioni 300
ikiwa ataamua kuihama klabu yake ya Real Madrid.
Wakala huyo amesema ikiwa timu yake itataka kuuza kwa sababu yoyote ile ni lazima timu inayomtaka itoe kiasi hicho cha fedha.
Ronaldo,
...
Timu
ya soka ya Azam ya Tanzania leo itamaliza ziara yake nchi Jamuhuri ya
kidemokrasia ya Congo kwa kucheza mchezo wa mwisho na klabu ya Don Bosco
.
Mchezo utapigwa majira ya saa tisa kwa saa Afrika Mashariki
itafuatiwa na mechi kati ya Mabingwa wa DRC TP Mazembe dhidi ya Mabingwa
wa...
Manchester United itashuka dimbani kuikabili timu ya Cambridge United katika mchezo wa marudio kombe la FA.
baada
ya kutoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa kwanza uliochezwa
Abbey Stadium Nyumbani kwa Timu hiyo ya Daraja la Chini, Ligi daraja la
2.
Hii ni Mechi ya raundi...
Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema hali ya kikosi chake kushindwa kutumia nafasi inachanganya, lakini hawataka tamaa.
Pluijm amekuwa akilia na nafasi nyingi wanazopoteza katika kila mechi.
"Kweli
bado ni tatizo, si dogo kwa kuwa kila mmoja anaweza akaliona sasa.
Tunahitaji...
Kiungo wa Manchester United,
Darren Fletcher ametua West Bromwich Albion kwa mkataba wa miaka mitatu na
nusu.
Fletcher ,30, amekuwa kati
ya wachezaji waliohama timu moja kwenda nyingine katika hatua za mwisho za
dirisha la usajili.
Kiungo huyo mkongwe ametua
Wes Brom likiwa limebaki saa...
Arsenal
imesajili kinda wa miaka 17, Krystian Bielik na beki wa kati, Gabriel
Paulista kwa Pauni Milioni 11.2, wakati Manchester United imemsajili
kipa mkongwe Victor Valdes, huku vigogo wengine,Liverpool
wakiwa hawajasajili mchezaji yeyote.
ARSENAL: WALIOINGIA: Gabriel Paulista (Villarreal,...
Na Mwandishi Wetu, KIGALIKOCHA
Jean Marie Ntagwabila aliyekuwa atue Simba SC Januari mwaka huu kuwa
Msaidizi wa Mserbia, Goran Kopunovic katika klabu ya Simba SC amefariki
dunia leo nchini Rwanda.Ntagwabila amefariki ghafla katika hospitali ya Jeshi, Kanombe baada ya kusumbuliwa na ugonjwa...
Nyota na msanii mkongwe wa muziki wa bongo flava nchini
Tanzania, Juma Nature amesema kuwa wasanii wakongwe wa muziki huo
watapotea kabisa katika ramani ya muziki kama wadau wa muziki pamoja na
vyombo vya habari havitawapa nafasi ya kutosha kama wanavyopewa wasanii
wengine...
Amani ,Furaha imerejea miongoni mwa mashabiki wa Man United baada ya kipa wao namba moja David De Gea kubaki katika timu hiyo yenye maskani yake Mjini Manchester nchini England. Awali viongozi wa Real Madrid walikuwa wakimfuatilia ili kumsajili katika klabu yao, Lakini juhudi zao...