SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 3, 2015

HARRY REDKNAPP AFYA MGOGORO, AACHIA NGAZI QPR

Harry Redknapp ameachia ngazi Queens Park Rangers kufuatia maumivu ya magoti lakini ameweka wazi kuwa bado huo hautakuwa mwisho wake wa kufundisha soka. Redknapp, 67, amesema amechukua uamuzi huo...

JACKLINE WOLPER AMKUBALI AY

Acctress Jacquline Wolper kutoka katika kiwanda cha filamu bongo amewataka watanzania kupenda kazi za wasanii wa nyumbani na kuwapa support katika kazi zao wanazofanya ili kuwatia nguvu na...

BAADA YA KUFUNGWA JIONI YA LEO AZAM FC ITARUDI KESHO

MABINGWA wa ligi kuu Tanzania bara, Azam fc wamemaliza ziara yao nchini Congo DR ambako wameshiriki michuano ya Mazembe inayoendelea mjini Lubumbashi. Azam walianza kwa kufungwa goli 1-0 na TP Mazembe, wakatoka sare ya 2-2 na Zesco United ya Zambia na leo wamefungwa 1-0 na Don Bosco. Katibu...

HII INAIHUSU KLABU YA BARCELONA

Ni siku nyingine ngumu kwa Raisi wa FC Barcelona Josep Maria Bartomeu. Huku uchaguzi mkuu ukiwa umekaribia ndani ya Nou Camp, nafasi ya Bartomeu kurejea madarakani imeingia shakani leo jumanne baada ya kutoka kwa tuhuma zinazomhusisha raisi huyo wa sasa na mambo ya kukwepa kodi. Sakata...

20 PERCENT AIBUKA MORO APIGA SHOW YA NGUVU

Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akitoa burudani. Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akiwa na bendi yake ya Mwakaulwi Sound. ...Akiendelea kuimba. Mkali wa Bongo Fleva ambaye mwaka 2012 alitwaa Tuzo Tano za Kili, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent ameibuka kivingine...

YANGA, AZAM KUCHEZA FAINALI ZA MASHINDANO MAPYA YA EBOLA

Kwa ufupi Maombi hayo yalisomwa kwenye kikao cha 24 cha marais wa nchi wanachama wa AU kilichofanyika Addis Ababa, Ethiopia na ikapitishwa kwa kuundwa kamati maalumu ya kusimamia mashindano hayo. ...

HII INA MUHUSU FRANCIS CHEKA

Mke wa Cheka aangua kilio kortini Bondia Francis Cheka akipanda kwenye gari ya polisi baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela. Picha na Mpigapicha Wetu  Na Hamida Shariff na Imani Makongoro, MwananchiPosted  Jumanne,Februari3  2015  saa 14:15...

YANGA YATUA SALAMA TANGA

Kikosi cha Yanga, kimetua salama mjini Tanga kujiandaa na mchezo wake wa kesho dhidi ya Coastal Union. Lakini Yanga wamekataa kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Mkwakwani ambao walitakiwa kufanya mazoezi leo na kuamua kufanya mazoezi kwenye uwanja wa jeshi. Msemaji wa Yanga, Jerry Muro...

KOPUNOVIC AMLILIA JEAN MARIE, ASEMA ALIMFUATILIA WIKI ILIYOPITA

Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic ameonyesha wazi masikitiko yake kutokana na kifo cha ghafla ya Kocha Jean Marie Ntagwabila. Kopunovic amesema amesikitishwa na taarifa hizo kwa kuwa kocha huyo raia wa Rwanda alikuwa kati ya rafiki na wapinzani wake kikazi. “Wiki iliyopita nilikuwa nafuatilia...

HANS POPPE AMPASHA KISIGA, AMWAMBIA ANAJISUMBUA MWENYEWE

Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amemwambia kiungo mkongwe wa Simba, Shabani Kisiga asidhani anausumbua uongozi wa klabu hiyo kwa kuondoka kambini. Kisiga ameondoka kambini Simba kwa madai amekuwa hachezeshwi, lakini Hans Poppe amesema anajipotezea muda...

HII NDIO THAMANI YA RONALDO KAMA UNATAKA KUMSAJILI

  Jorge Mendes wakala wa mshambuliaji Cristiano Ronaldo amesema mchezaji huyo ana thamani ya pauni milioni 300 ikiwa ataamua kuihama klabu yake ya Real Madrid. Wakala huyo amesema ikiwa timu yake itataka kuuza kwa sababu yoyote ile ni lazima timu inayomtaka itoe kiasi hicho cha fedha. Ronaldo, ...

AZAM FC KUMALIZA ZIARA LEO DRC

  Timu ya soka ya Azam ya Tanzania leo itamaliza ziara yake nchi Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kwa kucheza mchezo wa mwisho na klabu ya Don Bosco . Mchezo utapigwa majira ya saa tisa kwa saa Afrika Mashariki itafuatiwa na mechi kati ya Mabingwa wa DRC TP Mazembe dhidi ya Mabingwa wa...

MAN UNITED KUIVAA CAMBRIDGE UNITED

  Manchester United itashuka dimbani kuikabili timu ya Cambridge United katika mchezo wa marudio kombe la FA. baada ya kutoka sare ya bila kufungana katika mchezo wa kwanza uliochezwa Abbey Stadium Nyumbani kwa Timu hiyo ya Daraja la Chini, Ligi daraja la 2. Hii ni Mechi ya raundi...

KOCHA YANGA KUNA TATIZO LAKINI HAKUNA KUKATA TAMAA

  Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema hali ya kikosi chake kushindwa kutumia nafasi inachanganya, lakini hawataka tamaa. Pluijm amekuwa akilia na nafasi nyingi wanazopoteza katika kila mechi. "Kweli bado ni tatizo, si dogo kwa kuwa kila mmoja anaweza akaliona sasa. Tunahitaji...

FLETCHER ATU WEST BROM

Kiungo wa Manchester United, Darren Fletcher ametua West Bromwich Albion kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu. Fletcher ,30, amekuwa kati ya wachezaji waliohama timu moja kwenda nyingine katika hatua za mwisho za dirisha la usajili. Kiungo huyo mkongwe ametua Wes Brom likiwa limebaki saa...

USAJILI MZIMA DIRISHA DOGO ENGLAND, NANI KAINGIA WAPI, NANI KATOKA TIMU ZOTE LIGI KUU

Arsenal imesajili kinda wa miaka 17, Krystian Bielik na beki wa kati, Gabriel Paulista kwa Pauni Milioni 11.2, wakati Manchester United imemsajili kipa mkongwe Victor Valdes, huku vigogo wengine,Liverpool wakiwa hawajasajili mchezaji yeyote. ARSENAL: WALIOINGIA: Gabriel Paulista (Villarreal,...

KOCHA SIMBA AFRIKI DUNIA RWANDA

  Na Mwandishi Wetu, KIGALIKOCHA Jean Marie Ntagwabila aliyekuwa atue Simba SC Januari mwaka huu kuwa Msaidizi wa Mserbia, Goran Kopunovic katika klabu ya Simba SC amefariki dunia leo nchini Rwanda.Ntagwabila amefariki ghafla katika hospitali ya Jeshi, Kanombe baada ya kusumbuliwa na ugonjwa...

ALICHOSEMA NATURE KUHUSU WASANII WA ZAMANI

Nyota na msanii mkongwe wa muziki wa bongo flava nchini Tanzania, Juma Nature amesema kuwa wasanii wakongwe wa muziki huo watapotea kabisa katika ramani ya muziki kama wadau wa muziki pamoja na vyombo vya habari havitawapa nafasi ya kutosha kama wanavyopewa wasanii wengine...

HII INAHUSU USAJILI WA DE GEA

  Amani ,Furaha imerejea miongoni mwa mashabiki wa Man United baada ya kipa wao namba moja David De Gea kubaki katika timu hiyo yenye maskani yake Mjini Manchester nchini England. Awali viongozi  wa  Real Madrid walikuwa wakimfuatilia ili kumsajili katika klabu yao, Lakini juhudi zao...