
Na Haji balou
HABARI mbaya Azam FC, tena katika wakati mbaya. Beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Shomary Kapombe (pichani kulia) hatacheza mechi zote mbili za Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) dhidi ya Esperance ya Tunisia.
Kapombe aliyekosa mechi mbili
mfululizo za Ligi Kuu timu hiyo ikitoa
sare...