SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 7, 2016

PIGO JIPYA AZAM FC

Na Haji balou HABARI mbaya Azam FC, tena katika wakati mbaya. Beki anayeweza kucheza kama kiungo pia, Shomary Kapombe (pichani kulia) hatacheza mechi zote mbili za Kombe la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) dhidi ya Esperance ya Tunisia. Kapombe aliyekosa mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu timu hiyo ikitoa sare...