SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Mar 19, 2015

MAN CITY KUMUUZA YAYA TOURE

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City watamuuza Yaya Toure msimu huu katika mpango unaolenga kuwauza wachezaji wengine wa kilabu hiyo kwa lengo la kununua wachezaji chipukizi watakaoongozwa na mchezaji Kevin De Bruyn wa Wolfsburg. Kushindwa kwa kilabu hiyo na Barcelona katika mechi ya...

KIBIBI KIZEE CHA TURIN CHAFANYA BALAA ULAYA, HUYO TEVEZ MOTO WAKE USIKIE HIVYO HIVYO!

‘KIBIBI KIZEE’ cha Turin kimeinuka tena. Habari ndiyo hiyo. Juventus ya Italia imefuzu Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, kufuatia ushindi wa mabao 3-2 ugenini dhidi ya Borussia Dormund usiku huu Uwanja wa Westfalenstadion, Dortmund, Ujerumani. Juve sasa inakwenda Robo Fainali...

BARCA YAISINDIKIZA NA 1-0 MAN CITY EUROPA LEAGUE

BAO pekee la Ivan Rakitic limeipa Barcelona ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Rakitic alifunga bao hilo dakika ya 31, akimalizia krosi ya Lionel Messi na sasa Barca inafuzu Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa mabao...

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO ZIPO HAPA

. . . . ....