
Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City
watamuuza Yaya Toure msimu huu katika
mpango unaolenga kuwauza wachezaji wengine
wa kilabu hiyo kwa lengo la kununua wachezaji
chipukizi watakaoongozwa na mchezaji Kevin De
Bruyn wa Wolfsburg.
Kushindwa kwa kilabu hiyo na Barcelona katika
mechi ya...