
Ndugu ya mshambuliaji wa klabu ya
Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo
kumshtumu katika mtandao wa facebook na watu wengine wa familia yake.
Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba msamaha kwa makosa aliyofanya,na kwamba angependelea nduguye arudi katika...