SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 12, 2015

NDUGU WA ADEBAYOR AOMBA MSAMAHA

  Ndugu ya mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo kumshtumu katika mtandao wa facebook na watu wengine wa familia yake. Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba msamaha kwa makosa aliyofanya,na kwamba angependelea nduguye arudi katika...

ABDI KASSIM AZIDI KUKAMUA MALAYSIA, AZIVUTIA TIMU ZA........

   ABDI KASSIM AKIPAMBANA DHIDI YA EL HADJI DIOUF KATIKA YA MECHI WAKATI TIMU ZAO ZILIPOKUTANA. Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdi Kassim ‘Babi’ sasa amekuwa lulu nchini Malaysia ambako anaichezea timu ya Ligi Kuu Malaysia, University Technology Mara FC (UiTM). Babi ambaye timu yake...

BAFETIMBI ‘AWALAZA NJAA’ ARSENAL EMIRATES KWA BAO LA UTATA

BAO la utata la Mfaransa Bafetimbi Gomis limeipa Swansea City ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Emirates, London. Bafetimbi alifunga bao la dakika za lala salama kwa msaada wa teknolojia kwenye mstari wa lango, hicho kikiwa kipigo cha pili...

SIMBA SC YAMTUPIA VIRAGO DANI SSERUNKUMA, SIMON NA OWINO NAO…

Dani Sserunkuma ametupiwa virago Simba SC baada ya mechi 17 tangu Desemba aliposajiliwa kutoka Gor Mahia ya Kenya Na Princess Asia, DARES SALAAMMABINGWA wa zamani wa Tanzania na Afrika Mashafiki na Kati, Simba SC wamemtupia virago mfungaji bora wa zamani wa Ligi Kuu ya Kenya, Danny Sserunkuma...