SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

HII NDIO DROO KOMBE LA FA

SIMBA CHALII KESSY AONESHWA NYEKUNDU

MANARA APATA AJALI

MKENYA APIGA MBILI LIVERPOO IKIUA 4-1

Mar 5, 2016

HIKI NDIO KIKOSI CHA AZAM KITAKACHOANZA MECHI YA LEO DHIDI YA YANGA

NA Haji balou
Kikosi cha Azam FC kitakakabiliana na Yanga dakika chache zijazo ndani ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

28 Aishi Manula
  4 Shomari Kapombe
17 Farid Mussa
15 Said Morad
  5 Pascal Wawa
12 David Mwantika
16 Jean Mugiraneza
23 Himid Mao
14 Ramadhan Singano
18 John Bocco
10 Kipre Tchetche

AKIBA

  1 Mwadin Ally
26 Wazir Salum
29 Michael Bolou
18 Frank Domayo
20 Mudathir Yahya
  9 Allan Wanga
11 Didier Kavumbagu

#VivaAzamFC

VAN DER SAR AMEYASEMA HAYA KUHUSU VAN GAAL

NA Haji balou
Mchezaji  wa zamani wa Manchester united Edwin van der sar amesema kuwa kocha Luis van gaal ni mmoja kati ya makocha bora ambao yeye amewahi kufanya nao kazi hivyo anawataka mashabiki wa United kumwamini mholanzi huyo.

Van der sar alicheza chini ya Van gaal katika timu ya Ajax ya kwao uholanzi ambapo wote walishinda ligi ya mabingwa Ulaya mwaka 1995 kabla ya kukaa miaka sita katika klabu ya Manchester united chini ya kocha Sir Alex Ferguson.

Van der sir aliongeza kuwa kwangu Van gaal ni kocha bora milele kwani alikuwa njia ya Mimi kupata mafanikio alitufunza mengi sana tukiwa kama wachezaji vijana.