SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 8, 2015

DADA YAKE ADEBAYOR AMPA MAKAVU KAKA YAKE KUHUSU POST YA JANA…SOMA ALICHOKISEMA

Baada ya status ya Adebayor ambayo ilishtua watu wengi kwenye mtandao hao mchezaji Didier Drogba alimpost Adebayor na kumuombea mambo ambayo yanaenda vibaya na familia yake yaende vizuri. Sasa kwenye ile ile post dada yake Adebayor anaitwa Lucia Adebayor amemjibu akienda kinyume na status ya...

MGHANA MPYA SIMBA, ILIKUWA NI SHUGHULI NZITO DHIDI YA MGANDA

 Ingawa ni mazoezi lakini ushindani mkali kati ya beki Mganda, Juuko Murishid dhidi ya Mghana, Aboagye Nelson haikuwa kazi ndogo. Katika mazoezi ya Simba kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam (UDSM), Aboagye ambaye anafanya majaribio Simba akiwaniwa kusajiliwa,...

YAYA KUIHAMA MANCHESTER CITY

Huku msimu wa ligi ukiwa si wa mafanikio kwa Manchester City baada ya klabu hiyo kushindwa kutetea taji lao la ligi kuu ya England ambalo walitwaa msimu uliopita na pia wakishindwa kwenda mbele kwenye michuano ya ligi ya mabingwa baada ya kutolewa kwenye hatua ya 16 bora , hali imezidi kuwa...

Jinsi mastaa wa Afrika walivyomuandikia Adebayor kwenye mgogoro wa familia

(Photo by Shaun Botterill/Getty Images) Siku chache baada ya mshambuliaji wa kimataifa wa Togo na Tottenham Hotspurs Emanuel Sheyii Adebayor kufichua siri kadhaa nzito za ugomvi na familia yake, mastaa kadhaa wa Afrika wamemuunga mkono kwenye hii ishu. Moja kati ya mapacha wanaoiunda P-Square...

MAN UNITED YANASA 'BONGE LA KIFAA' LA UHOLANZI, KILA KITU SAFI

KLABU ya Manchester United imefanikiwa kushinda mbio za kuwania saini ya Memphis Depay baada ya mchezaji huyo na wakala wake kufanya mazungumzo mazuri na Louis van Gaal kuhusu uhamisho wa Pauni Milioni 25. Klabu hiyo imethibitisha uhamisho huo leo na Depay atajiunga na United - iwapo akifaulu...