SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

May 30, 2015

UMAARUFU WA RAMADHANI SINGANO NA MAHALI ANAPOISHI HAVIFANANI

Chumba anacholala Singano na Kaka yake Hais Ramadhani UMAARUFU ni kama utumwa! huwezi kuwa huru kama una jina kubwa, halafu maisha yako ni ya kawaida tu. Kuna idadi kubwa ya wachezaji maarufu wa mpira wa mguu nchini, pia wapo wanamuziki n.k, lakini...

SIMBA SC YASAJILI KIPA WA JKU MIAKA MIWILI

Kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abraham Mohammed (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ofisini kwake, Mbezi, Dar es Salaam mara baada ya kusaini Mkataba wa miaka miwili kuitumikia...