
YANGA
imedai kwamba iligoma kuuza haki za matangazo ya Televisheni za mechi
yao na BDF XI ya Botswana kwa vile Azam TV haikufika dau.
Katibu wa
Yanga, Jonas Tiboroha, ameweka wazi kwamba mechi zao wanaanza kuuza kwa
dau la dola 10,000 (Sh 18 milioni) dau ambalo hakuna chombo chochote...