SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 17, 2015

YANGA WATOA SABABU KWANINI MECHI YAO NA BDF XI HAIKUONYESHWA KWENYE TV

  YANGA imedai kwamba iligoma kuuza haki za matangazo ya Televisheni za mechi yao na BDF XI ya Botswana kwa vile Azam TV haikufika dau. Katibu wa Yanga, Jonas Tiboroha, ameweka wazi kwamba mechi zao wanaanza kuuza kwa dau la dola 10,000 (Sh 18 milioni) dau ambalo hakuna chombo chochote...

SIMBA NA YANGA KUMENYANA MACHI 8 TAIFA

Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara imeendelea kubadilika badilika kama hali ya hewa, baada ya jana Shirikisho la Soka nchini (TFF) kutoa ratiba nyingine, inayoonyesha vigogo Simba na Yanga watamenyana Machi 8, mwaka huu.Tangu kupanguliwa kwa ratiba ya...

AFRICAN SPORTS, MWADUI FC KUCHEZA FAINALI JUMAPILI

Na Baraka Kizuguto, DAR ES SALAAM TIMU za African Sports ya Tanga na Mwadui FC ya Shinyanga zinatrajiwa kucheza mchezo wa fainali ya kusaka Bingwa wa Ligi Daraja la Kwanza (FDL) siku ya Jumapili katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.African Sports waliibuka washindi wa kwanza katika Kundi...

DEWJI AWAOMBA UTULIVU MASHABIKI SIMBA

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Kassim Dewji amesema kikosi cha timu yao ni bora lakini kuna mambo kadhaa ya kufanya na wanachama na mashabiki wanahitaji utulivu. Dewji amesema wakati uongozi wa sasa unaingia madarakani, Simba haikuwa katika kiwango kizuri kwa zaidi...

BAHANUZI MCHEZAJI BORA LIGI KUU BARA

Kiungo wa timu ya Coastal Union, John Mahundi amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Disemba 2014 wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inayoendelea kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali nchini. Mahundi alitoa mchango mkubwa kwa timu yake ya Coastal Union mwezi Disemba mwaka jana na kuchaguliwa...

KURASA ZA MWANZO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMANNE FEB 17

. . . ....

MAN UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA FA, SASA KUIVAA ARSENAL

MANCHESTER United imetoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 3-1 hivyo kutinga Robo Fainali ya Kombe la FA dhidi ya Preston Noth End usiku huu na sasa watakutana na mabingwa watetezi, Arsenal. Scott Laird alitangulia kuwafungia wenyeji, Preston dakika ya 47 akimtungua kwa shuti la kubabatiza kipa...