SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Jan 17, 2016

NIYONZIMA AOMBA MSAMAHA KWA MASHABIKI YANGA

KIUNGO Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima ameomba msamaha Yanga SC na kuahidi kutorudia kuikwaza klabu kwa namna yoyote. Mwezi uliopita, Yanga SC ilitangaza kuvunja Mkataba na Nahodha huyo wa Rwanda kwa tuhuma za kukiuka vipengele vya Mkataba wake. Lakini leo katika Mkutano na Waandishi wa Habari makao...

MKUDE ATOA YA MOYONI BAADA YA KUFUKUZWA KERRY

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, ameonyesha masikitiko yake kwa mtindo ulioanza kuzoeleka ndani ya Simba wa ingia toka ya makocha kila uchao, akidai inawavuruga, licha ya kwamba wachezaji ni kama wanajeshi na katu hawapaswi kuchagua pori la kupigania vita. Mkude alisema wachezaji wa Simba wapo kwenye...

NIYONZIMA KUFANYAKIKAO NA WANACHAMA WA YANGA LEO

Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima atazungumza na wanachama na mashabiki wa Yanga jijini Dar es Salaam, leo. Niyonzima anatarajia kufanya hivyo katika mkutano wa waandishi wa habari uliopangwa kufanyika jijini Dar. Mpashaji mmoja amesema huenda Niyonzima akafanya mkutano huo makao makuu ya klabu ya Yanga. "Sina...