
KIUNGO Haruna Hakizimana Fadhil
Niyonzima ameomba msamaha Yanga
SC na kuahidi kutorudia kuikwaza
klabu kwa namna yoyote.
Mwezi uliopita, Yanga SC ilitangaza
kuvunja Mkataba na Nahodha huyo
wa Rwanda kwa tuhuma za kukiuka
vipengele vya Mkataba wake.
Lakini leo katika Mkutano na
Waandishi wa Habari makao...