MANCHESTER United
imeendeleza ubabe dhidi ya Arenal, baada ya usiku huu kuichapa mabao 2-1
Uwanja wa Emirates katika mchezo wa Ligi Kuu ya England.
United walipata bao la kwanza dakika ya 56, baada ya beki Kieran Gibbs
kumfunga mwenyewe kipa wake, Wojciech Szczesny katika harakati za kuokoa
krosi ya Antonio Valencia, kabla ya Nahodha Wayne Rooney kufunga la
pili dakika ya 85 akimalizia pasi...