
KOCHA
Mkuu wa Simba Mserbia, Goran Kopunovic, amewataka wachezaji wa timu
hiyo kutojikuza na badala yake wanatakiwa kupambana na kujituma kwa
lengo la kushinda mechi za ligi ili wapate mafanikio.Akizungumza
na BIN ZUBEIRY jana mjini Morogoro Kopunovic alisema juhudi na kila
mchezaji kufahamu majukumu...