SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 12, 2015

KOCHA SIMBA ANENA

KOCHA Mkuu wa Simba Mserbia, Goran Kopunovic, amewataka wachezaji wa timu hiyo kutojikuza na badala yake wanatakiwa kupambana na kujituma kwa lengo la kushinda mechi za ligi ili wapate mafanikio.Akizungumza na BIN ZUBEIRY jana mjini Morogoro Kopunovic alisema juhudi na kila mchezaji kufahamu majukumu...

YANGA YA PRESHA JUU SASA YATUMIA VIWANJA VIWILI KWA AJILI YA MAZOEZI

Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema watakuwa wakichanganya mazoezi yao katika viwanja vya Karume na Taifa jijini Dar. Yanga imeanza rasmi kujiwinda kwa ajili ya mechi yao ya Kombe la Shirikisho dhidi ya BDF XI ya Botswana itakayopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar. Pluijm amesema...

KOPUNOVIC AFURAHIA KURUDI KWA KIUNGO WAKE TEGEMEZI SIMBA

Kocha Goran Kopunovic amesema kiungo wake Saidi Ndemla atakuwa fiti kabla ya kuivaa Polisi Moro. Simba ina kibarua Jumapili dhidi ya timu hiyo ngumu kutoka mkoani Morogoro. Kopunovic amesema kwa kuwa Ndemla ameanza mazoezi kwa zaidi ya siku tatu sasa, anaamini atakuwa fiti. “Atakuwa...

LAMBERT AFUNGASHIWA VIRAGO

  Aston Villa imemtimua kocha wake Paul Lambert baada ya Klabu hiyo kushuka kwenye Msiamo wa ligi kuu England na kuwa hatarini kushuka daraja Villa ilipoteza mchezo kwa kupigwa Mabao mawili kwa sifuri na Hull city siku ya jumanne, ikiwa ni mechi yao ya 10 bila kuondoka na ushindi Mskoti...

ZIPO HAPA KURASA ZA KWANZA NA ZA MWISHO MAGAZETI YA MICHEZO LEO FEB 12

. . . . . . ....

HUYU NDIYE HANDSOME EPL

Mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud ametajwa kuwa mchezaji mwenye mvuto kuliko wote wanaocheza kwenye ligi ya England katika utafiti uliofanywa miongoni mwa mashabiki hususan wa kike nchini England . Utafiti huu ulihusisha jumla ya wanawake 250 raia wa Marekani ambao waliulizwa maswali...

ALICHOSEMA ALI KIBA KUHUSU KUFANYA COLLABO NA WASANII WA AFRIKA

. Kuna time utakuwa unajiuliza maswali kuwa kuna umuhimu gani kwa  wasanii wa hapa Tanzania kufanya kolabo na mastaa wa Afrika . Sasa staa wa Bongo Fleva Ali Kiba amejibu swali lako na kusema;‘Katika kutangaza muziki inasaidia kiasi fulani lakini sio sana, muziki unaweza ukautangaza hata...

BARCELONA YAIKALISHA VILLAREAL 3-1

TIMU ya Barcelona imeifunga mabao 3-1 Villarreal katika Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme, maarufu Copa del Rey usiku huu Uwanja wa Nou Camp. Ushindi huo wa 10 mfululizo katika mashindano yote kwa vigogo hao wa Hispania ulitokana na mabao ya Lionel Messi, Andres Iniesta na Gerard Pique. Mwanasoka ...

CHRIS SMALLING APIGA MBILI MAN UNITED IKIUA 3-1 ENGLAND

TIMU ya Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Old Trafford. Sifa zimuendee beki Chris Smalling aliyekuwa katika kiwango cha juu leo na kufunga mabao mawili peke yake, dakika za sita na 45, wakati bao la tatu ...

WILLIAN AITAKATISHA CHELSEA LIGI KUU ENGLAND

BAO la dakika za lala salama la Willian, limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya Everton usiku huu katika mcheo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Toffees walifungwa bao hilo baada ya kumpoteza mchezaji wake, Gareth Barry aliyetolewa kwa kadi nyekundu na...

MAN CITY WANG'AA UGENINI

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya England, Manchester City wameibuka leo na kushinda mabao 4-1 dhidi ya Stoke Uwanja wa Britannia huo ukiwa ushindi wa kwanza tangu mwaka mpya.  Sergio Aguero aliwafungia wageni bao la kwanza dakika ya 33, kabla ya Peter Crouch kuisawazishia timu ya Mark...