
Kutoka kulia, Mkuu wa idara ya
habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro, Jerryson Tetege, Amissi
Tambwe na Mbuyu Twite wakishoo ‘Love’ nchini Tunisia baada ya kutua
wakitokea Dubai.
Yanga na Etoile du Sahel
zitachuana jumamosi kuanzia saa 3:00 kwa saa za Tanzania katika mechi ya
marudiano...