SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 18, 2016

HII NDIO REKODI MPYA YA LIONEL MESSI

Na Haji balou Superstar wa Argentina Lionel Messi usiku wa jana amefikisha magoli 500 katika maisha yake ya soka aliyoifungia klabu yake na timu yake ya taifa baada ya kufunga bao moja wakati Barca ikilala 2-1 nyumbani mbele ya Valencia. Nyota huyo mwenye miaka 28 alimaliza ukame ...