SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Apr 28, 2015

KURASA ZA MWANZO NA ZA MWISHO ZA MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMANNE ZIPO HAPA

...

TAMBWE AZIDI KUWAUMIZA ROHO SIMBA

AMISSI Tambwe ameendelea kuonesha thamani yake na kuwadhihirishia Simba kuwa yeye ni mfungaji hatari baada ya jana kupiga magoli matatu ‘hat-trick’ katika ushindi wa magoli 4-1 dhidi ya Polisi Moro. Yanga walichukua ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2014/2015 baada ya ushindi wa jana...

MSUVA AZUNGUMZIA GOLI LAKE LINALO FANANA NA LA VAN PERSIE

SIMON Happygod Msuva amesema anajisikia furaha kuchukua ubingwa huku goli lake alilofunga kwa kichwa dhidi ya Ruvu Shooting likijadiliwa mno kwenye mitandao ya kijamii na kufananishwa na alilofunga mshambuliaji wa Manchester United na Uholanzi, Robin...

SHANGWE ZA UBINGWA YANGA RAHA TUPU WACHEZAJI, MAKOCHA HADI MASHABIKI

...

JOHN TERRY 'ANAVYOMSUTA' BENITEZ AELEKEA KUCHEZA MECHI 38 ZA MSIMU BILA TATIZO

MIAKA miwili ilitopita, kocha Rafa Benitez alipokuwa wa Chelsea mustakabali wa beki John Terry ulikuwa shakani Stamford Bridge. Aprili mwaka 2013, kocha huyo Mspanyola alisema kwamba hawezi kuendelea kumchezesha mechi mbili kwa wiki na uamuzi huo wa utata ulitokana na maumivu ya goti...