
MIAKA miwili ilitopita, kocha Rafa Benitez alipokuwa wa Chelsea mustakabali wa beki John Terry ulikuwa shakani Stamford Bridge.
Aprili
mwaka 2013, kocha huyo Mspanyola alisema kwamba hawezi kuendelea
kumchezesha mechi mbili kwa wiki na uamuzi huo wa utata ulitokana na
maumivu ya goti...