SAMATTA ATUPIA GENK IKIUA 2-1

Feb 6, 2016

STORY 3 KUBWA KUTOKA MAGAZETI YA ULAYA

3. Leta Pogba katika Real Madrid Meneja mpya wa Real Madrid Zinedine Zidane amemhimiza rais wa klabu Florentino Perez kutumia kitita kikubwa cha pesa kumleta kiungo wa Juventus Paul Pogba katika Santiago Bernabeu. (Source: AS) 2. Sturridge anataka kuiondoka Liverpool Mshambuliaji wa Liverpool Daniel...

HII NDIO RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO NA KESHO

Ligi Kuu ya Vodacoma Tanzania bara raundi ya 18 inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo nane kuchezwa katika viwanjabmbalimbali nchini, Jumamosi ukichezwa mchezo Mmoja na Jumapili kuchezwa kwa michezo saba. Jumamosi ligi ya kuu ya Vodacom itaendelea kwa mchezo mmoja tu, ambapo katika uwanja wa...